Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,238
Tulionya mapema sana kwamba huyo mfadhili wa ngoma za asili aitwaye Tulia atawachuuza wenzie , hatimaye yametimia .
ni hivi , nashauri siasa za majukwaani ziendelee kupigwa marufuku , vinginevyo 2020 yaweza kuwa mbali sana .Yule kichaa Jiwe Rojo inadunda tu.
Swissme
Amos Makalla alichemsha ndio awe huyu mshamba mlima njegere wa Tanangozi ?Mkuu wa mkoa kashasema ole wenu chadema
aendelee tu kujenga barabara kanda ya ziwaJiwe ajipange kwa mbeya
Inakuwaga hivi kwenye kampeni kwenye kura CHADEMA njeTulionya mapema sana kwamba huyo mfadhili wa ngoma za asili aitwaye Tulia atawachuuza wenzie , hatimaye yametimia .
View attachment 866565
mbeya kata zote chadema imepigwa chini unaloInakuwaga hivi kwenye kampeni kwenye kura CHADEMA nje
Lakini MBEYA siyo wanafiki
naona sasa umeona muziki wa huyo wa Tanangozi unayemwita mshamba CCM imeshinda mbeya mjini kwa huyo mnayemwita raisi koko wa mbeya ,Huyo wa Tanangozi ni muziki mwingine usimfananishe na Makalla,Mshamba wa Tanangozi kamtoa knock out mtoto wa mjini Sugu.Amos Makalla alichemsha ndio awe huyu mshamba mlima njegere wa Tanangozi ?
Wizi wa kura si ushindi niliyouzungumzia , Kwa mfano kata ya mwanganyanga Kyela , Chadema ilishinda vituo vyote , lakini mgombea wa ccm ndiye alitangazwa mshindi .naona sasa umeona muziki wa huyo wa Tanangozi unayemwita mshamba CCM imeshinda mbeya mjini kwa huyo mnayemwita raisi koko wa mbeya ,Huyo wa Tanangozi ni muziki mwingine usimfananishe na Makalla,Mshamba wa Tanangozi kamtoa knock out mtoto wa mjini Sugu.
ushindi ni ushindi muraWizi wa kura si ushindi niliyouzungumzia , Kwa mfano kata ya mwanganyanga Kyela , Chadema ilishinda vituo vyote , lakini mgombea wa ccm ndiye alitangazwa mshindi .
Tofautisha kati ya ushindi na wizi ni vitu viwili tofauti, bila polisi hata umonita wa darasani hamupati.naona sasa umeona muziki wa huyo wa Tanangozi unayemwita mshamba CCM imeshinda mbeya mjini kwa huyo mnayemwita raisi koko wa mbeya ,Huyo wa Tanangozi ni muziki mwingine usimfananishe na Makalla,Mshamba wa Tanangozi kamtoa knock out mtoto wa mjini Sugu.