Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,374
Mkuu asante nakushukuru...hizi keyboard zingekuwa zinaonge ungejua hisia za watu gauge ipo juu kwa kiasi ganiNimependa uchambuzi wako
Mkuu asante nakushukuru...hizi keyboard zingekuwa zinaonge ungejua hisia za watu gauge ipo juu kwa kiasi ganiNimependa uchambuzi wako
hata kuwekwa kimada wa nusu sekunde hajawai unasema kuolewa,ndio maana anajibujibu ovyo nashushua wabunge,anaongea bila kufikiri.
Njia pekee kumsaidia ni kumpatia mume akaishi naye.
Upeo wake ni mdogo sana,na kiakili hajatulia kabisa.
Inatia kinyaa kumsikiliza,tuna rais dhaifu na spika mcharuko,kwa sasa nchi yetu imekwisha kabisa...