Mh. Ridhiwani Kikwete naomba jibu kwa hili

Itzmusacmb

JF-Expert Member
Jun 22, 2016
1,531
1,132
Nina imani Mh. Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwan Kikwete una ID humu JF. Nimesafiri kutoka Dar mpaka Jijini Mwanza, mchana na Usiku sijaona kitu kinachoitwa 'barrier' barabarani au kwa lugha yetu kizuizi cha aina yoyote.

Sasa basi iweje barabara ya Msata -Bagamoyo kuwe na kizuizi Kijiji cha Kiwangwa? Hali kadhalika kama haitoshi kingine kipo Kijiji cha Mbwewe (Barabara kuu ya Chalinze-Segera) na hiki huwa kinawekwa Usiku tuu!! Kuna kpi hasa kinachofanywa kiwekwe hasa usiku?

Hakuna rekodi mbaya ya uhalifu maeneo hayo wala mizigo ya magendo!! Ukiwa kama Mbunge wa maeneo tajwa please tupe majibu na kama hufahamu ulitambue hilo na ukishirikiana na DC, OCD wa Chalinze tupeni majibu juu ya hili na ikiwezekana tuondoleeni kero watumiaji wa barabara!!

Nawasilisha!!

NB: Samahani Sikuweza kupiga picha hvyo vizuizi


~Cmb
 
k
Nina imani Mh. Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwan Kikwete una ID humu JF. Nimesafiri kutoka Dar mpaka Jijini Mwanza, mchana na Usiku sijaona kitu kinachoitwa 'barrier' barabarani au kwa lugha yetu kizuizi cha aina yoyote.

Sasa basi iweje barabara ya Msata -Bagamoyo kuwe na kizuizi Kijiji cha Kiwangwa? Hali kadhalika kama haitoshi kingine kipo Kijiji cha Mbwewe (Barabara kuu ya Chalinze-Segera) na hiki huwa kinawekwa Usiku tuu!! Kuna kpi hasa kinachofanywa kiwekwe hasa usiku?

Hakuna rekodi mbaya ya uhalifu maeneo hayo wala mizigo ya magendo!! Ukiwa kama Mbunge wa maeneo tajwa please tupe majibu na kama hufahamu ulitambue hilo na ukishirikiana na DC, OCD wa Chalinze tupeni majibu juu ya hili na ikiwezekana tuondoleeni kero watumiaji wa barabara!!

Nawasilisha!!

NB: Samahani Sikuweza kupiga picha hvyo vizuizi


~Cmb
Kizuizi kinakuathiri nini kama huna tatizo?
 
Wanaposema tuondoe road blocks wanamaanisha nn mkuu? Na kwnn kwngine hakuna?
Umeongea mwenyewe kuwa umesafiri hadi mwanza hujaona kizuizi, bali umeona mbwewe na kiwangwa, lengo ni kupunguza vizuizi na sio kuondoa kabisa. Vizuizi hasa vya usiku ni muhimu sana kwa usala kwa watumiaji wa barabara, huwa tunajiamini kutembea na gari usiku sababu tunajua askari wapo kazini
 
Mishe Mishe za Magendo na matumizi ya Bandari Bubu zimetumbuliwa. Pole sana

Hiace zilikuwa zinanyofolewa Siti na kujazwa Petrol zilizoshushwa Bandari Bubu
 
Nina imani Mh. Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwan Kikwete una ID humu JF. Nimesafiri kutoka Dar mpaka Jijini Mwanza, mchana na Usiku sijaona kitu kinachoitwa 'barrier' barabarani au kwa lugha yetu kizuizi cha aina yoyote.

Sasa basi iweje barabara ya Msata -Bagamoyo kuwe na kizuizi Kijiji cha Kiwangwa? Hali kadhalika kama haitoshi kingine kipo Kijiji cha Mbwewe (Barabara kuu ya Chalinze-Segera) na hiki huwa kinawekwa Usiku tuu!! Kuna kpi hasa kinachofanywa kiwekwe hasa usiku?

Hakuna rekodi mbaya ya uhalifu maeneo hayo wala mizigo ya magendo!! Ukiwa kama Mbunge wa maeneo tajwa please tupe majibu na kama hufahamu ulitambue hilo na ukishirikiana na DC, OCD wa Chalinze tupeni majibu juu ya hili na ikiwezekana tuondoleeni kero watumiaji wa barabara!!

Nawasilisha!!

NB: Samahani Sikuweza kupiga picha hvyo vizuizi


~Cmb
Probably wewe uliyeandika hili ni Ridhiwan.unatafuta njia yakulivalia njuga hili jambo.. By the way road block ni kwa usalama wa nchi. Sasa bwana Ridhiwan kama umeona malori yako yanasumbuliwa get used to it... This is Hapa Kazi tuu Era
 
Nina imani Mh. Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwan Kikwete una ID humu JF. Nimesafiri kutoka Dar mpaka Jijini Mwanza, mchana na Usiku sijaona kitu kinachoitwa 'barrier' barabarani au kwa lugha yetu kizuizi cha aina yoyote.

Sasa basi iweje barabara ya Msata -Bagamoyo kuwe na kizuizi Kijiji cha Kiwangwa? Hali kadhalika kama haitoshi kingine kipo Kijiji cha Mbwewe (Barabara kuu ya Chalinze-Segera) na hiki huwa kinawekwa Usiku tuu!! Kuna kpi hasa kinachofanywa kiwekwe hasa usiku?

Hakuna rekodi mbaya ya uhalifu maeneo hayo wala mizigo ya magendo!! Ukiwa kama Mbunge wa maeneo tajwa please tupe majibu na kama hufahamu ulitambue hilo na ukishirikiana na DC, OCD wa Chalinze tupeni majibu juu ya hili na ikiwezekana tuondoleeni kero watumiaji wa barabara!!

Nawasilisha!!

NB: Samahani Sikuweza kupiga picha hvyo vizuizi


~Cmb
Unajua maana ya barrier? Kitu chochote kinachofanya momentum ya safari ibadilike ni barrier. Inaweza ikawa tarriff barrier kama ukaguzi license za magari, ukaguzi wa mizigo kwenye magari, n.k. Pia unawea ukawa na Non tariff barrier kama matuta barabarani kama quotas, sanctions, embargos
 
Probably wewe uliyeandika hili ni Ridhiwan.unatafuta njia yakulivalia njuga hili jambo.. By the way road block ni kwa usalama wa nchi. Sasa bwana Ridhiwan kama umeona malori yako yanasumbuliwa get used to it... This is Hapa Kazi tuu Era
Daaah
Anyway kwni Ridhiwan ana maroli?
 
Unajua maana ya barrier? Kitu chochote kinachofanya momentum ya safari ibadilike ni barrier. Inaweza ikawa tarriff barrier kama ukaguzi license za magari, ukaguzi wa mizigo kwenye magari, n.k. Pia unawea ukawa na Non tariff barrier kama matuta barabarani kama quotas, sanctions, embargos
Ndcho nilichomaanisha ie Tarriff barrier
 
Back
Top Bottom