Zitto alijiunga CCM mwaka gani na ukinipa namba ya kadi yake nitafurahiHakuna zitto is a money monger alikuwa na future kubwa sana ndani ya CCM na alipohamia Chadema bado alikuwa na future kubwa politically love of dirty money has brought him down .It will take him centuries to recover
hahaahahah yani huyu babu bana
Soma tena nilichoandika ulinganishe na jibu ulilotoa. Kisha ujiulize watu wote walio sober humu jamvini wanakuchukuliaje! Ukishajua nenda kamdai akili zako alikushikia kama bado yupo hai.Mumeo?