Mh. Rais Magufuli, tafadhali ajiri walimu

Mh. Rais Magufuli, tafadhali ajiri walimu

ntamaholo

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2011
Posts
12,950
Reaction score
6,981
Nimeangalia matokeo ya mtihani wa upimaji darasa la nne, kwa kweli hali ni mbaya sana.

Kuna shule ilikuwa na wanafunzi 250+, kati yao 75 wamefeli kabisa na hivyo wanatakiwa kukariri darasa la nne.

Moja ya sababu zilizofanya wafeli, ni kukosa waalimu tangu wakiwa darasa la kwanza.

Wakati unaingia madarakani, ulikuta kuna program zilizolenga kukabiliana na upungufu wa walimu, ukazisitisha kwa kuwa hazikufuata mlolongo sahihi wa elimu.

Sasa kuna waliomaliza tangu mwaka juzi, hawajaajiriwa, wako mtaani wakati tangu kipindi hicho kuna walimu wamefariki, wameacha kazi na wengine wamestaafu kwa mujibu wa sheria. Hivyo upungufu wa walimu ni mkubwa sana.

Elimu Bure imekuja na mfumuko wa wanafunzi haijawahi kutokea. Sasa unakuta darasa la kwanza lina limeandikisha watoto 400+, halafu kulingana na upungufu wa walimu, wanapangwa walimu wawili tu kufundisha watoto 200+ kila mmoja.

Je, iwapo mtu atafika darasa la nne bila kujua kusoma na kuandika, nani alaumiwe?

Mh. Rais, tafadhali okoa watoto wa wakulima, wanyonge wenzetu ambao hawawezi kupeleka watoto English medium.

Basi angalau ikama ya waalimu isome 1:60 angalau itasaidia waalimu kuwachunguza wanafunzi wao lkn ikifika standard ya 1:45, itakuwa njema kabisa.

Tafadhali mh, tusaidie
 
Je, iwapo mtu atafika darasa la nne bila kujua kusoma na kuandika, nani alaumiwe?
huyu akilaumiwa ndio anafurahi. ni sawa na chizi. chizi akiwa ktk kijiwe fulani na akaona hammchokozi kwa kumtaniatania, huondoka ktk kijiwe hicho. chizi anapenda kundi la watu wa kumtaniania. so kua mpole kwa huyu msela
 
huyu akilaumiwa ndio anafurahi. ni sawa na chizi. chizi akiwa ktk kijiwe fulani na akaona hammchokozi kwa kumtaniatania, huondoka ktk kijiwe hicho. chizi anapenda kundi la watu wa kumtaniania. so kua mpole kwa huyu msela
Aaaah, mkuuu nina imani naye sana kwa mambo mengi sana, real he deserve much respect for restructuring our thinking patterns. Yes let him go.

Lakini, katika elimu aboreshe kwa kutengeneza mazingira rafiki ya ujifunzaji mkuu. Akishauriwa huwa anakubali na kitenda kama alivyoshauriwa. Ndio maana anapitia sana mitandao ya kijamii ili kujua nini watu wanataka.
 
Hivi vilio ni vya muda mrefu sana. Ila havizingatiwi. Kila kukicha unaibuliwa mchakato mpya wa kuendelea kukwamisha ajira za walimu.
 
Nyie walimu ni vituko sana, mbona kada zingine wapo kimya, huku mjini walimu wamezidi idadi Somo moja walimu 100 tena historia, Hamtaki kukaa vijijini mnakimbilia mijini, Hapa walaumu walimu wenzenu waliopita sio serikali
 
Hivi vilio ni vya muda mrefu sana. Ila havizingatiwi. Kila kukicha unaibuliwa mchakato mpya wa kuendelea kukwamisha ajira za walimu.
Nenda kalime kuna wahasibu na maengineer walimaliza tangu 2006 hawana kazi, hii 2017 wewe subiri mpaka 2021
 
Serikali ya awamu hii sjapata kuona..et inabana matumiz huku raia tunatesek
Nimeangalia matokeo ya mtihani wa upimaji darasa la nne, kwa kweli hali ni mbaya sana.

Kuna shule ilikuwa na wanafunzi 250+, kati yao 75 wamefeli kabisa na hivyo wanatakiwa kukariri darasa la nne.

Moja ya sababu zilizofanya wafeli, ni kukosa waalimu tangu wakiwa darasa la kwanza.

Wakati unaingia madarakani, ulikuta kuna program zilizolenga kukabiliana na upungufu wa walimu, ukazisitisha kwa kuwa hazikufuata mlolongo sahihi wa elimu.

Sasa kuna waliomaliza tangu mwaka juzi, hawajaajiriwa, wako mtaani wakati tangu kipindi hicho kuna walimu wamefariki, wameacha kazi na wengine wamestaafu kwa mujibu wa sheria. Hivyo upungufu wa walimu ni mkubwa sana.

Elimu Bure imekuja na mfumuko wa wanafunzi haijawahi kutokea. Sasa unakuta darasa la kwanza lina limeandikisha watoto 400+, halafu kulingana na upungufu wa walimu, wanapangwa walimu wawili tu kufundisha watoto 200+ kila mmoja.

Je, iwapo mtu atafika darasa la nne bila kujua kusoma na kuandika, nani alaumiwe?

Mh. Rais, tafadhali okoa watoto wa wakulima, wanyonge wenzetu ambao hawawezi kupeleka watoto English medium.

Basi angalau ikama ya waalimu isome 1:60 angalau itasaidia waalimu kuwachunguza wanafunzi wao lkn ikifika standard ya 1:45, itakuwa njema kabisa.

Tafadhali mh, tusaidie
Hyo hana lolote tu..analeng baya na taifa letu si vingne nakwambia elimu ya tz inakoelekea n kubaya sana mana mkulu hasikiii wala aambiliki anajifanya mjuaji kat hana lolote nawaswas sana na elimu yake huyo mtu
 
Mwacheni akae na ajira zake apate raha, sisi tufanye mengine tu. Kama anadhani tutamwabudu kwa hizo ajira amefeli sana, na yeye si chochote wala si lolote
 
Nimeangalia matokeo ya mtihani wa upimaji darasa la nne, kwa kweli hali ni mbaya sana.

Kuna shule ilikuwa na wanafunzi 250+, kati yao 75 wamefeli kabisa na hivyo wanatakiwa kukariri darasa la nne.

Moja ya sababu zilizofanya wafeli, ni kukosa waalimu tangu wakiwa darasa la kwanza.

Wakati unaingia madarakani, ulikuta kuna program zilizolenga kukabiliana na upungufu wa walimu, ukazisitisha kwa kuwa hazikufuata mlolongo sahihi wa elimu.

Sasa kuna waliomaliza tangu mwaka juzi, hawajaajiriwa, wako mtaani wakati tangu kipindi hicho kuna walimu wamefariki, wameacha kazi na wengine wamestaafu kwa mujibu wa sheria. Hivyo upungufu wa walimu ni mkubwa sana.

Elimu Bure imekuja na mfumuko wa wanafunzi haijawahi kutokea. Sasa unakuta darasa la kwanza lina limeandikisha watoto 400+, halafu kulingana na upungufu wa walimu, wanapangwa walimu wawili tu kufundisha watoto 200+ kila mmoja.

Je, iwapo mtu atafika darasa la nne bila kujua kusoma na kuandika, nani alaumiwe?

Mh. Rais, tafadhali okoa watoto wa wakulima, wanyonge wenzetu ambao hawawezi kupeleka watoto English medium.

Basi angalau ikama ya waalimu isome 1:60 angalau itasaidia waalimu kuwachunguza wanafunzi wao lkn ikifika standard ya 1:45, itakuwa njema kabisa.

Tafadhali mh, tusaidie
Sasa hivi kuna shida kubwa sana hata secondari.form ni wengi sana : mfano kuna shule ina form 680 na nyingine 480 form two 320 form 3: 290 form 4 :260 mwalimu wa phys ni 1 hapa kz tu
 
Hajui nn? Ajira alizisitsha mwenyewe hela za bajet ajira mpya kanunulia ndege na ujenz uwanja ndege chato, atajijua mwenyewe hakuna wa kumwabudu!
 
Daa!! watu wanalalamika sana,wahusika sikieni hiki kilio cha wasaka ajira.
Ukiwa mzazi utakuja na wewe ulalamike. Jifanye hata mlezi, nenda katembelee shule moja, angalia uwiano wa walimu na wanafunzi ulete majibu hapa.
 
Achana nae bwana tatizo anajiona mungu,akae nazo hizo ajira c tutafanya mengine
achana nae, akikuita utagoma? unaachana nazo izo ajira kweli? jina lako likitoka utagoma kwenda kufanya Kazi kweli we mtanzania au siyo badala yake na kuanza kumsifia. vuta subira kila jambo lina mwisho.

hakuna ajuaye tuendako .... this is a shadow of the tears. we just seat and pray hoping the beats will go away.
 
Back
Top Bottom