[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanaume tumeumbwa,mateso kuhangaika..[emoji445][emoji442][emoji449]
angelikua anashauriwa, mpaka sasa angelikua alishatoa ajira za walimu. mwezi wa tisa wabungo sijui wa kamati ya nini walienda kumshauri aruhusu special case ya ajira kwa walimu ktk kipindi cha uhakiki, lijamaa liligoma ng'o!!! huyu mtu hashauriki na ni mtu mbaya sanaAaaah, mkuuu nina imani naye sana kwa mambo mengi sana, real he deserve much respect for restructuring our thinking patterns. Yes let him go.
Lakini, katika elimu aboreshe kwa kutengeneza mazingira rafiki ya ujifunzaji mkuu. Akishauriwa huwa anakubali na kitenda kama alivyoshauriwa. Ndio maana anapitia sana mitandao ya kijamii ili kujua nini watu wanataka.
Miaka miwili sasa, bado unashabikia ujinga wa watu wajinga wa kuzuia huduma ktk jamiiNyie walimu ni vituko sana, mbona kada zingine wapo kimya, huku mjini walimu wamezidi idadi Somo moja walimu 100 tena historia, Hamtaki kukaa vijijini mnakimbilia mijini, Hapa walaumu walimu wenzenu waliopita sio serikali
Wewe muhasibu, ulishawahi kusikia ofisi gani imekosa mhasibu? vipi kuhusu wanafunzi kutosoma masomo kwa kutokuepo walimu wa masomo hayo? kwanza tambua serikali ikiajiri walimu, inakua na lengo la kuboresha elimu yetu, na sio tu kuwapa ajira walimu. na akiacha kuajiri walimu, inakua ina lengo ovu la kuzorotesha elimu yetu. kuajiri walimu ni kuboresha huduma kwa wanyonge au watoto wa wanyonge wanaotaabika kwa kukosa huduma ya walimu. sasa wewe muhasibu ni wapi ulisikia jamii inataabika kwa kukosa muhasibu? zezeta kabisa weweNenda kalime kuna wahasibu na maengineer walimaliza tangu 2006 hawana kazi, hii 2017 wewe subiri mpaka 2021