Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,149
Bado najiuliza jamani kuhusu swala la jairo
mh pinda alidai bungeni kwamba kama yeye ameshapata majibu ya swala hili
lakini utokana na mtu huyo kuteuliwa na rais anaitaji kusubiri mapaka rais
aje na akiwa anasubiri rais kikwete kufika mh luhanjo akatangaza kumpa mh
jairo likizo ya malipo
swali langu huyu waziri mkuu na mh luhanjo nani mwenye mamlaka nahisi
tuna bomu la waziri mkuu asiejua mamlaka alionayo...nimefika kujiuliza hiki
na kuendeelea na mambo mengine kusubiri siku kumi za jairo
mh pinda alidai bungeni kwamba kama yeye ameshapata majibu ya swala hili
lakini utokana na mtu huyo kuteuliwa na rais anaitaji kusubiri mapaka rais
aje na akiwa anasubiri rais kikwete kufika mh luhanjo akatangaza kumpa mh
jairo likizo ya malipo
swali langu huyu waziri mkuu na mh luhanjo nani mwenye mamlaka nahisi
tuna bomu la waziri mkuu asiejua mamlaka alionayo...nimefika kujiuliza hiki
na kuendeelea na mambo mengine kusubiri siku kumi za jairo