Mh Pinda na Mh Luhanjo nani mwenye mamlaka zaidi?

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,149
Bado najiuliza jamani kuhusu swala la jairo
mh pinda alidai bungeni kwamba kama yeye ameshapata majibu ya swala hili
lakini utokana na mtu huyo kuteuliwa na rais anaitaji kusubiri mapaka rais
aje na akiwa anasubiri rais kikwete kufika mh luhanjo akatangaza kumpa mh
jairo likizo ya malipo

swali langu huyu waziri mkuu na mh luhanjo nani mwenye mamlaka nahisi
tuna bomu la waziri mkuu asiejua mamlaka alionayo...nimefika kujiuliza hiki
na kuendeelea na mambo mengine kusubiri siku kumi za jairo
 
Bado najiuliza jamani kuhusu swala la jairo
mh pinda alidai bungeni kwamba kama yeye ameshapata majibu ya swala hili
lakini utokana na mtu huyo kuteuliwa na rais anaitaji kusubiri mapaka rais
aje na akiwa anasubiri rais kikwete kufika mh luhanjo akatangaza kumpa mh
jairo likizo ya malipo

swali langu huyu waziri mkuu na mh luhanjo nani mwenye mamlaka nahisi
tuna bomu la waziri mkuu asiejua mamlaka alionayo...nimefika kujiuliza hiki
na kuendeelea na mambo mengine kusubiri siku kumi za jairo

Tumuulize Juji Mkuu, labda katiba itatupa jibu halisi, maana hili ni suala la katiba. kama katiba haina jibu, basi anajua Kikwete
 
Bado najiuliza jamani kuhusu swala la jairo
mh pinda alidai bungeni kwamba kama yeye ameshapata majibu ya swala hili
lakini utokana na mtu huyo kuteuliwa na rais anaitaji kusubiri mapaka rais
aje na akiwa anasubiri rais kikwete kufika mh luhanjo akatangaza kumpa mh
jairo likizo ya malipo

swali langu huyu waziri mkuu na mh luhanjo nani mwenye mamlaka nahisi
tuna bomu la waziri mkuu asiejua mamlaka alionayo...nimefika kujiuliza hiki
na kuendeelea na mambo mengine kusubiri siku kumi za jairo

Tumuulize Jaji Mkuu, labda katiba itatupa jibu halisi, maana hili ni suala la katiba. kama katiba haina jibu, basi anajua Kikwete
 
Luhanjo anateuliwa na Rais kusimamia shughuli za ikulu.

Waziri Mkuu anateuliwa na Rais kusimamia serikali nzima na zaidi lazima aidhinishwe na Bunge ambacho ni chombo cha juu kabisa cha kutunga sheria za nchi na ni moja ya mihimili ya dola:

Hapo jibu umeshapata.
 
Luhanjo anateuliwa na Rais kusimamia shughuli za ikulu.

Waziri Mkuu anateuliwa na Rais kusimamia serikali nzima na zaidi lazima aidhinishwe na Bunge ambacho ni chombo cha juu kabisa cha kutunga sheria za nchi na ni moja ya mihimili ya dola:

Hapo jibu umeshapata.

Mkuu hapo sasa ndipo kuna mchanganyiko mkubwa!! PM anasimamia serikali nzima na anapitishwa na Bunge (wawakilishi wa wananchi) cha kushangaza ni kwamba sheria hazimpi meno hata ya kumsimamisha kazi naibu katibu makuu achana na waziri yeyote! PM anaweza kuwasimamisha kazi (si kuwafukuza) wahasibu na wakurugenzi wa Halmashauri tu basi (Kumbuka Bagamoyo). Kwa upande mwingine yupo Katibu Mkuu Kiongozi ambaye kwa mujibu wa sheria ni mkuu wa utumishi wa umma. Huyu anateuliwa na Rais na hapitishwi na Bunge lakini ana nguvu (Kisheria) za kuwasimamisha kazi watendaji wa serikali walioteuliwa na Rais ispokuwa Mawaziri na Manaibu waziri. Hapa unaweza kuona kwamba Waziri Mkuu ambaye anasimamia shughuli za serikali hana meno japo ya plastiki, mwenye meno kwa watumishi wa umma ni Katibu Mkuu Kiongozi! Kwa mantiki hiyo basi Katibu Mkuu Kiongozi ana Mamlaka zaidi! Au hutaki?
 
Luhanjo anateuliwa na Rais kusimamia shughuli za ikulu.

Waziri Mkuu anateuliwa na Rais kusimamia serikali nzima na zaidi lazima aidhinishwe na Bunge ambacho ni chombo cha juu kabisa cha kutunga sheria za nchi na ni moja ya mihimili ya dola:

Hapo jibu umeshapata.

Mkuu Luhanjo ni Katibu Mkuu Kiongozi na si Katibu Mkuu wa Ikulu!! Hashughulikii masula ya Ikulu tu anashughulikia utumishi wa umma kwa ujumla wake. Inabidi katiba ijayo inyooshwe ipasavyo.
 
Mkuu hapo sasa ndipo kuna mchanganyiko mkubwa!! PM anasimamia serikali nzima na anapitishwa na Bunge (wawakilishi wa wananchi) cha kushangaza ni kwamba sheria hazimpi meno hata ya kumsimamisha kazi naibu katibu makuu achana na waziri yeyote! PM anaweza kuwasimamisha kazi (si kuwafukuza) wahasibu na wakurugenzi wa Halmashauri tu basi (Kumbuka Bagamoyo). Kwa upande mwingine yupo Katibu Mkuu Kiongozi ambaye kwa mujibu wa sheria ni mkuu wa utumishi wa umma. Huyu anateuliwa na Rais na hapitishwi na Bunge lakini ana nguvu (Kisheria) za kuwasimamisha kazi watendaji wa serikali walioteuliwa na Rais ispokuwa Mawaziri na Manaibu waziri. Hapa unaweza kuona kwamba Waziri Mkuu ambaye anasimamia shughuli za serikali hana meno japo ya plastiki, mwenye meno kwa watumishi wa umma ni Katibu Mkuu Kiongozi! Kwa mantiki hiyo basi Katibu Mkuu Kiongozi ana Mamlaka zaidi! Au hutaki?

Hapa umepotosha Mkuu si hivyo hata kidogo kuna kitu hujakijua hapo.

Waziri Mkuu ana meno na ndio Mtendaji Mkuu katika serikali pia anaweza kuwasimamisha kazi hao wote uliowasema kama akiamuwa ila kwa ajili ya kuheshimu Protoko ndio maana alisema anamsubiri Rais, lakini kwa taarifa yako PM ana nguvu kuliko hata Makamu wa Rais katika nchni kwa mujibu wa katiba ya nchni hii; swala la Jairo inaonekana ni Kikwete alipindisha sasa waziri Mkuu hawezi tena kuja kwenye public kutangaza kitu tofauti na kile alichokisema awali ndio maana wakatumia Luhanjo, Luhanjo hana meno kuliko PM ila ndio Mamlaka ya Nidhamu kwa Makatibu wakuu wote na pia Usalama wa taifa wanaripo kwake (Ni kama useme kuwa Katibu Mkuu wa wizara ana nguvu kuliko Waziri si kweli) kama sehemu ya muundo wa serikali kuu ila siyo decision maker Waziri Mkuu ana mamlaka ya Makuu katika Decision na ndio maana katiba inatambuwa kuwa hata uteuzi wa mawaziri Rais anapaswa kuunda baraza kwa kushauriana na PM.
Luhanjo ni kama team Leader kwa wataalam ambao kazi yao kuu ni kuishauri Decision team ambayo ndio yenye mamlaka yote na Maamuzi yote juu ya serikali; Decision team ni Rais na Waziri Mkuu wakisaidiwa na Mawaziri wao.
 
Hapa umepotosha Mkuu si hivyo hata kidogo kuna kitu hujakijua hapo.

Waziri Mkuu ana meno na ndio Mtendaji Mkuu katika serikali pia anaweza kuwasimamisha kazi hao wote uliowasema kama akiamuwa ila kwa ajili ya kuheshimu Protoko ndio maana alisema anamsubiri Rais, lakini kwa taarifa yako PM ana nguvu kuliko hata Makamu wa Rais katika nchni kwa mujibu wa katiba ya nchni hii; swala la Jairo inaonekana ni Kikwete alipindisha sasa waziri Mkuu hawezi tena kuja kwenye public kutangaza kitu tofauti na kile alichokisema awali ndio maana wakatumia Luhanjo, Luhanjo hana meno kuliko PM ila ndio Mamlaka ya Nidhamu kwa Makatibu wakuu wote na pia Usalama wa taifa wanaripo kwake (Ni kama useme kuwa Katibu Mkuu wa wizara ana nguvu kuliko Waziri si kweli) kama sehemu ya muundo wa serikali kuu ila siyo decision maker Waziri Mkuu ana mamlaka ya Makuu katika Decision na ndio maana katiba inatambuwa kuwa hata uteuzi wa mawaziri Rais anapaswa kuunda baraza kwa kushauriana na PM.
Luhanjo ni kama team Leader kwa wataalam ambao kazi yao kuu ni kuishauri Decision team ambayo ndio yenye mamlaka yote na Maamuzi yote juu ya serikali; Decision team ni Rais na Waziri Mkuu wakisaidiwa na Mawaziri wao.

Mkuu hakika nakuambia Waziri Mkuu hana meno kama unavyofikiria. Kama si mamlaka ya nidhamu ya nidhamu anawezaje kuchukua hatua za kinidhamu kwa watendaji? Kufukuza mtu ama kumsimamisha ni hatua za kinidhamu mkuu. Angalia vizuri muundo wa serikali ili ujiridhishe na mapungufu yake. Nakumbuka wakati wa Mkapa kulikuwa na Waziri mmoja ambaye alikuwa na nguvu sana serikalini na kuna wakati alimvimbia waziri mkuu akimwambia kwamba yeye ni mteule tu wa rais kama ilivyo kwake yaani wote ni wateuliwa wa Rais. Hakika nakuambia Waziri Mkuu hana meno.
 
Hapa umepotosha Mkuu si hivyo hata kidogo kuna kitu hujakijua hapo.

Waziri Mkuu ana meno na ndio Mtendaji Mkuu katika serikali pia anaweza kuwasimamisha kazi hao wote uliowasema kama akiamuwa ila kwa ajili ya kuheshimu Protoko ndio maana alisema anamsubiri Rais, lakini kwa taarifa yako PM ana nguvu kuliko hata Makamu wa Rais katika nchni kwa mujibu wa katiba ya nchni hii; swala la Jairo inaonekana ni Kikwete alipindisha sasa waziri Mkuu hawezi tena kuja kwenye public kutangaza kitu tofauti na kile alichokisema awali ndio maana wakatumia Luhanjo, Luhanjo hana meno kuliko PM ila ndio Mamlaka ya Nidhamu kwa Makatibu wakuu wote na pia Usalama wa taifa wanaripo kwake (Ni kama useme kuwa Katibu Mkuu wa wizara ana nguvu kuliko Waziri si kweli) kama sehemu ya muundo wa serikali kuu ila siyo decision maker Waziri Mkuu ana mamlaka ya Makuu katika Decision na ndio maana katiba inatambuwa kuwa hata uteuzi wa mawaziri Rais anapaswa kuunda baraza kwa kushauriana na PM.
Luhanjo ni kama team Leader kwa wataalam ambao kazi yao kuu ni kuishauri Decision team ambayo ndio yenye mamlaka yote na Maamuzi yote juu ya serikali; Decision team ni Rais na Waziri Mkuu wakisaidiwa na Mawaziri wao.

Hebu mkuu kwa kunielimisha tu naomba uniambie Waziri Mkuu ana uwezo wa kumfukuza mtumishi gani wa serikali?
 
Hebu mkuu kwa kunielimisha tu naomba uniambie Waziri Mkuu ana uwezo wa kumfukuza mtumishi gani wa serikali?

Hujui maana ya mamlaka ya nidhamu ndio kitu kinachokusumbua hapo na pia CS hana mamlaka ya kufukuza mtu yeyeto kazi kama hujui hilo. Tafuta maana ya hilo neno linalokusumbua utaelewa.

Kila Mfanyakazi anapaswa kufukuzwa kwa mujibu wa sheria na taratibu kama hujui. Tofauti ni kuwa Kama umefanya kosa ambalo si la jinai (makosa ya kiutendaji) Mamlako yako ya nidhamu inakuchunguza na kubaini kilichopo alafu inashauri kwa mamlaka ya maamuzi ambayo kwa kesi ya Jairo Mamlaka yenye maamuzi juu yake ni Rais na PM.

Kama umefanya kosa la jinai mamlaka yako ya Nidhamu haina nguvu tena vyombo vya dola vina mamlaka ya kukuchunguza na kumkabidhi DPP Jalada lako kwa hatua za kufikishwa Mahakamani na hiki ndicho walichokikwepesha hapa ambacho watanzania wengi hawajui. Katika kesi ya jinai hata mamlaka ya Maamuzi haina uwezo wa kimamlaka ya kuzuia husichunguzwe ila wanaweza kuzuia kufikishwa kesi Mahakamani kupitia kwa DPP, maana DPP ana mamlaka yake pia ya kuzuia kesi hisiperekwe Mahakamani kama haina maslahi kwa taifa.
 
Kwani Jairo kasimamishwa? Jairo kapewa likizo ya lazima, na hilo liko ndani ya uwezo wa Katibu mkuu kiongozi. Kuwa likizo ya lazima maana yake unaondolewa ofisini lakini utaendelea kupata mshahara kama kawaida. CS hana mamlaka ya kumsimamisha kazi Katibu mkuu wa wizara ila yeye anamshauri Rais ambaye ndo mwenye mamlaka hayo. Ila masuala ya nidhamu kama vile uchunguzi CS ndo mwenye mamlaka hayo ili baadaye imsaidie kumshauri Rais hatua za kuchukua.
 
Kwa mara nyingine tenna ni mpango wa jk kumfanya pm aonekane hana nguvu. Jk is negatively smart. Alishindwa nini kumwambia pm amwajibishe jairo baada ya kumpa taarifa? Kama inavyompendeza rais, akaamua kumpa jukumu hilo luhanjo ili lisifike tena mikononi mwa pm. Lakini kama siku ile mlimsikia vizuri luhanjo. Alisema, 'mimi ndiye mwenye mamlaka ya kumwajibisha mtumishi wa umma...'
 

Hujui maana ya mamlaka ya nidhamu ndio kitu kinachokusumbua hapo na pia CS hana mamlaka ya kufukuza mtu yeyeto kazi kama hujui hilo. Tafuta maana ya hilo neno linalokusumbua utaelewa.

Kila Mfanyakazi anapaswa kufukuzwa kwa mujibu wa sheria na taratibu kama hujui. Tofauti ni kuwa Kama umefanya kosa ambalo si la jinai (makosa ya kiutendaji) Mamlako yako ya nidhamu inakuchunguza na kubaini kilichopo alafu inashauri kwa mamlaka ya maamuzi ambayo kwa kesi ya Jairo Mamlaka yenye maamuzi juu yake ni Rais na PM.

Kama umefanya kosa la jinai mamlaka yako ya Nidhamu haina nguvu tena vyombo vya dola vina mamlaka ya kukuchunguza na kumkabidhi DPP Jalada lako kwa hatua za kufikishwa Mahakamani na hiki ndicho walichokikwepesha hapa ambacho watanzania wengi hawajui. Katika kesi ya jinai hata mamlaka ya Maamuzi haina uwezo wa kimamlaka ya kuzuia husichunguzwe ila wanaweza kuzuia kufikishwa kesi Mahakamani kupitia kwa DPP, maana DPP ana mamlaka yake pia ya kuzuia kesi hisiperekwe Mahakamani kama haina maslahi kwa taifa.

Mkuu sikubaliani na wewe hapo kwenye wekundu. PM hana meno juu ya Katibu Mkuu ama Waziri yeyote. Naomba kifungu tafadhali
 
Back
Top Bottom