Mh.Peter Msigwa atakuwepo kesho Tabata Dar.

Mh.Peter Msigwa atakuwepo kesho Tabata Dar.

Joined
Aug 5, 2013
Posts
83
Reaction score
17
Mbunge wa Iringa mjini kesho atafanya kufuru ya mwaka ktk mkutano wa hadhara utakaofanyika ktk viwanja vya Tabata shule.Lengo ni kutoa msimamo wa chama juu ya Rasimu ya Katiba Mpya.
 
Msigwa tangu alivyojidhalilisha Bungeni na hotuba yake ya kidaku amekuwa akionekana mtu wa hovyohovyo tu.
 
Msigwa tangu alivyojidhalilisha Bungeni na hotuba yake ya kidaku amekuwa akionekana mtu wa hovyohovyo tu.

Msigwa ni miongoni mwa wabunge wachache ambao kufikiri kwao ni kwa viwango vya akina Abbot, Backhouse, Nelkon & Parker.
 
Msigwa ni miongoni mwa wabunge wachache ambao kufikiri kwao ni kwa viwango vya akina Abbot, Backhouse, Nelkon & Parker.

Hahahahahahahahaha

Mbona unamtukana Nelkon?

Yaani unamfananisha Nelkon na TAPELI ambaye hajawahi kuandika hata kuasa kumi za maana!
 
Mkuu ZeMarcopolo,

Hivi bado Msigwa ana jadiliwa humu JF tena?

Mimi nilidhani tangu atapike ule upuuzi wake pale bungeni kuhusu Kinana, humu JF na taifa kwa ujumla tumempuuza, kumbe bado tu ana jadiliwa?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ZeMarcopolo,

Hivi bado Msigwa ana jadiliwa humu JF tena?

Mimi nilidhani tangu atapike ule upuuzi wake pale bungeni kuhusu Kinana, humu JF na taifa kwa ujumla tumempuuza, kumbe bado tu ana jadiliwa?

Msigwa is a redundant politician. Huyu aliyeleta thread alikuwa hajui.

Msigwa anajaribu kutafuta jinsi ya kurudi kwenye platform ndio maana anakuja town Dar es Salaam, hajui kuwa town watu wako busy na mabo yao. Hawana time na Chadema.
 
Kati ya anayeenda nje kuomba kondomu na net.Na anayepinga wananchi kuchangishwa 1000 ktk line za simu,nani mbululaaa? Msigwa namfanyanisha na James Madson.
 
Msigwa tangu alivyojidhalilisha Bungeni na hotuba yake ya kidaku amekuwa akionekana mtu wa hovyohovyo tu.
ZeMarcopolo kama hizi hapa chini ndizo hotuba za kidaku, basi michango yako humu JF zitakuwa ni busara za Malaika Mkuu! Na kinyume chake ndo ukweli.
Msigwa-Juu ya Ajira na Wamachinga
[video=youtube_share;KdL0iVvQIMc]http://youtu.be/KdL0iVvQIMc[/video]
Msigwa-Akili Ndogo Kuongoza Akili Kubwa
[video=youtube_share;T3wgDb2PRAI]http://youtu.be/T3wgDb2PRAI[/video]
 
Last edited by a moderator:
ZeMarcopolo kama hizi hapa chini ndizo hotuba za kidaku, basi michango yako humu JF zitakuwa ni busara za Malaika Mkuu! Na kinyume chake ndo ukweli.
Msigwa-Juu ya Ajira na Wamachinga
[video=youtube_share;KdL0iVvQIMc]http://youtu.be/KdL0iVvQIMc[/video]
Msigwa-Akili Ndogo Kuongoza Akili Kubwa
[video=youtube_share;T3wgDb2PRAI]http://youtu.be/T3wgDb2PRAI[/video]

Mkuu, hata Pele kuna wakati alivuma halafu akachuja.

Msigwa hii mistari alikariri tu, ila mwisho alijivunjia sana heshima kwa kutoa hotuba ya UDAKU...
 
Mkuu ZeMarcopolo,

Hivi bado Msigwa ana jadiliwa humu JF tena?

Mimi nilidhani tangu atapike ule upuuzi wake pale bungeni kuhusu Kinana, humu JF na taifa kwa ujumla tumempuuza, kumbe bado tu ana jadiliwa?

Hivi yule mzungu wa KINANA kesi yake vipi ?
 
Last edited by a moderator:
safi sana Msigwa , piga nyoka kichwani , mwizi wa masanduku mpaka ayarudishe .
 
Mbunge wa Iringa mjini kesho atafanya kufuru ya mwaka ktk mkutano wa hadhara utakaofanyika ktk viwanja vya Tabata shule.Lengo ni kutoa msimamo wa chama juu ya Rasimu ya Katiba Mpya.

sasa kufuru inatoka wapi?
 
Mkuu ZeMarcopolo,

Hivi bado Msigwa ana jadiliwa humu JF tena?

Mimi nilidhani tangu atapike ule upuuzi wake pale bungeni kuhusu Kinana, humu JF na taifa kwa ujumla tumempuuza, kumbe bado tu ana jadiliwa?

Nakutafuta sana, nitakupata. Nachukia sana kwa mods kuwaban watu wanaowapa vidonge vyao watu wa ovyo kama wewe.
 
Back
Top Bottom