Mh.Peter Msigwa atakuwepo kesho Tabata Dar.

Mh.Peter Msigwa atakuwepo kesho Tabata Dar.

Hahahahahahahahaha

Mbona unamtukana Nelkon?

Yaani unamfananisha Nelkon na TAPELI ambaye hajawahi kuandika hata kuasa kumi za maana!

Hahaha...Tapeli anakufanya utoke povu humu jamvini? Muulize mama Monica Mbega...
 
Mkuu ZeMarcopolo,

Hivi bado Msigwa ana jadiliwa humu JF tena?

Mimi nilidhani tangu atapike ule upuuzi wake pale bungeni kuhusu Kinana, humu JF na taifa kwa ujumla tumempuuza, kumbe bado tu ana jadiliwa?

Mimi nadhani ukweli kuhusu kauli ya Msigwa kuhusu kinana unazidi kuonekana kila siku tena baada ya mzungu wa Tally Mshirika wa kinana kukutwa na nyara za serikali!! kwa nini mnakosa haya kama mahayawani jamani .mambo yako dhahiri
 
Msigwa tangu alivyojidhalilisha Bungeni na hotuba yake ya kidaku amekuwa akionekana mtu wa hovyohovyo tu.

Mkuu ZeMarcopolo,

Hivi bado Msigwa ana jadiliwa humu JF tena?

Mimi nilidhani tangu atapike ule upuuzi wake pale bungeni kuhusu Kinana, humu JF na taifa kwa ujumla tumempuuza, kumbe bado tu ana jadiliwa?
Haha, naona hotuba ya Msigwa inawaumiza sana vichwa Lumumba street! Na kwa hakika amewashika pabaya. Maana hotuba imepata popularity isiyo ya kawaida. Na mtajibeba wanalumumba maana hakuna hata siku moja ambapo ukweli utazidiwa na uongo. Hakuna hata siku moja ambayo giza litaishinda nuru. Hebu jikumbusheni hotuba yake hapa:

 
Last edited by a moderator:
Kufuru? Huu ndo uandishi wa habari wa kitanzania!

Mkuu hata mi nimeshangaa kweli. Title za humu ndani mpaka napata wasiwasi juu ya hawa waandishi. Sijui ni wale wa Shigongo???!!!!!!!!!!!!!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom