KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 864
Wakati wa Salamu za Mwaka mpya Waziri wa Nishati na Madini Willium Ngeleja alisisimama Mbele ya Kanisa lake jimboni kwake na kueleza baina kuwa anaomba Askofu na Waumini wamuombee ili Matatizo ya Umeme yaweze kuisha.
Alisema kuwa anashukuru Mungu kwa sasa umeme unawaka lakini amekubwa na matatizo hayo kwa mda mrefu sasa ambapo umeme hauwaki sehemu mbalimbali za nchi.
NB.
Mwaka jana Mh Engineer Stella Manyanya alimuuliza swali Mh Ngeleja Bungeni , kuwa umeme wa 132kv lini ya Askofu Kakobe hauwaki kwa sababu za Hoja za Kakobe.
Mh Ngeleja alijibu Kwamba ni kweli umeme huo hauwaki na kwamba kuna matengenezo katika Nguzo namba 19 na namba 20 kwenye eneo la Kanisa la Kakobe lakini akakanusha kuwa matengenezo hayo ni ya kawaida na suala la umeme ni la Kisayansi na wala si la Kiroho , hivyo hoja za Askof Kakobe (Hoja za Kiroho kwa maana ya kuomba Mungu kuingilia kati) hazipo.
Tarehe 15/12/2011 Ngeleja alianza tena matengenezo kwenye nguzo hizo hizo ambapo mafundi walitumwa hapo na Winchi lao kuzimika wakati fundi amepanda katika nguzo 19 kwa Kakobe.
Sasa ni jambo la ajabu Ngeleja asiyeamini Nguvu za MUNGU kushughulikia umeme aombe tena msaada wa kanisa lake kumuombea!!!
Pia ni kwa nini mradi ambao unagharimu 34bils ushindwe kuzinduliwa huku matengenezo yasiyoisha yakiendelea kwenye nguzo mbili tu!!!
Katika matengenezo ya Nguzo hizo Wamefukuzwa mafundi wanne kwa Tanesco kwa hisia kuwa wanahujumu matengenezo hayo!!!.
Umeme huo ulipangwa kuzinduliwa na Rais Jakaya Kikwete mwezi wa kumu mwaka 2010 kwa kauli ya Ngeleja mwenyewe lakini mpaka sasa tar2/1/2012 haujazinduliwa!!
Alisema kuwa anashukuru Mungu kwa sasa umeme unawaka lakini amekubwa na matatizo hayo kwa mda mrefu sasa ambapo umeme hauwaki sehemu mbalimbali za nchi.
NB.
Mwaka jana Mh Engineer Stella Manyanya alimuuliza swali Mh Ngeleja Bungeni , kuwa umeme wa 132kv lini ya Askofu Kakobe hauwaki kwa sababu za Hoja za Kakobe.
Mh Ngeleja alijibu Kwamba ni kweli umeme huo hauwaki na kwamba kuna matengenezo katika Nguzo namba 19 na namba 20 kwenye eneo la Kanisa la Kakobe lakini akakanusha kuwa matengenezo hayo ni ya kawaida na suala la umeme ni la Kisayansi na wala si la Kiroho , hivyo hoja za Askof Kakobe (Hoja za Kiroho kwa maana ya kuomba Mungu kuingilia kati) hazipo.
Tarehe 15/12/2011 Ngeleja alianza tena matengenezo kwenye nguzo hizo hizo ambapo mafundi walitumwa hapo na Winchi lao kuzimika wakati fundi amepanda katika nguzo 19 kwa Kakobe.
Sasa ni jambo la ajabu Ngeleja asiyeamini Nguvu za MUNGU kushughulikia umeme aombe tena msaada wa kanisa lake kumuombea!!!
Pia ni kwa nini mradi ambao unagharimu 34bils ushindwe kuzinduliwa huku matengenezo yasiyoisha yakiendelea kwenye nguzo mbili tu!!!
Katika matengenezo ya Nguzo hizo Wamefukuzwa mafundi wanne kwa Tanesco kwa hisia kuwa wanahujumu matengenezo hayo!!!.
Umeme huo ulipangwa kuzinduliwa na Rais Jakaya Kikwete mwezi wa kumu mwaka 2010 kwa kauli ya Ngeleja mwenyewe lakini mpaka sasa tar2/1/2012 haujazinduliwa!!