Chilisosi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,051
- 747
Mheshimiwa ndesamburo a awasili London
Leo rasmi kuja kuhutubia mkutano wa Chadema utakaofanyika jumamosi kuandika saa kumi jioni.
Mh ndesamburo pia atatumia muda huu kuhamasisha vuguvugu la mabadiliko M4C
Taarifa Hizi zimethibitishwa na Mwenyekiti wa TAWI chris Lukosi
Leo rasmi kuja kuhutubia mkutano wa Chadema utakaofanyika jumamosi kuandika saa kumi jioni.
Mh ndesamburo pia atatumia muda huu kuhamasisha vuguvugu la mabadiliko M4C
Taarifa Hizi zimethibitishwa na Mwenyekiti wa TAWI chris Lukosi