Jk ni mtu wa subira sana nadhani anapaswa kupata taarifa sahihi juu ya mtazamo wa kagame na wenzake hii ni pamoja na kujilizisha plani B yao walivyoiseti.waziri wa uhusiano wa africa mashariki Mr. vi atakula wapi Tz ikijitoa? manake mwenyewe yupo kimya kweli tunasikia mara mkutano wa africa mashariki Nairobi sisi na Burundi hatupo, huu wa juzi Kigali JK hayumo(bora huu hakwenda wangekunjana na Kagame manake ameshamtukana na kumdhalilisha sana) na bahati mbaya hakuna kauli yoyote si kutoka kwa Membe wala Sitta mwenye Wizara, we have the right to know what's going on.
Hakuna kampuni ya bima,supermarket,bank,toka tanzania inayofanya biashara kenya ila za wakenya zimejaa tanzania.Ni bora tujitoe
Unafikiri sie tuna muda na watu wavivu kama nyie?Kwanza mnatupa faida gani ktk huu muungano zaidi ya kutunyonya tu!Hata mkitaka kuondoka leo..kwaherini wanyonyaji na wabaguzi wakubwa nyie.toa tanganyika..wacah kutusemea sisi wzanzibari... hatuwapendi vichogo kamanini.. wacha kusema kwa behalf zetu... toa tanganyika yako sio tanzania
umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu. Tanzania ni mwenda pole, na mwenda pole hajikwai. Hoja yako haina mashiko kwa sababu wewe hauko mipakani mwa tanzania. Umoja wa afrika ya mashariki ya sasa, umeundwa kwa mkataba mgumu sio rahisi kuuvunja vile wewe unavyotaka, siku zote tanzania inatumia diplomasia zaidi na sio kukurupuka. Chadema inatokea wapi hapa ama unataka kukidhalilisha kwa mambo ya kukurupuka unapoandika uzi huu? Tunapozungumzia mambo ya nnje ya mipaka yetu tunazunguza kama nchi kwa ujumla na sio chama. Mwisho : Vunja kwanza ndoa yako, na mahusiano na familia yako, ndipo uje na uzi wakuvunja eac. Pia kumbuka waziri husika wa eac ni samwel sitta, na wala sio bernard membe.
Ni kweli umoja ni guvu, utengano ni udhaifu...lakini kumbuka wameshaanza kututenga kijiichake. pili, kuna aina mbali mbali za umoja, kuna umoja unaondwa kuangamiza wengine na kuna umoja unaoundwa kuokoa wote.. kumbuka Tanzania imejengwa kwa misingi ya ujamaa, pia Umoja na Amani.. na katika harakati zote tokea uhuru Tanzania imepinga uonevu iweje leo tukubali kuonewa tena hadharani. hamna haja ya kuwa na umoja usio na faida, ndio maana nikasema haki na uoja wetu tuelekeze katika Umoja wa Afrika.. ngoja nikupe mfano.. wewe unaedai wa mpakani.. mfano Uganda ikadai kagera ni yao utaipeleka kesi EAC.. hapo utaliwa maana wanaushirika wao.. Kenya ikisema Rombo ni yao utapeleka Kesi EAC.. kwa kura itakula kwako lakini ukiipeleka AU hai itapatikana zaidi..
Chadema ni chama changu Tanzania ni nchi yangu... tatizo lako ni uelewa finyu wa demokrasia. na chadema kama ilivyo ccm , cuf , tlp ncccr tunawajibu wa kujenga nchi sio chama...
namuheshimu sana MH sitta , sijamtaja maana, ukiuwa EAC na wizara yake inakwenda na maji ndio maana sijamtaja.. pia angalia hii wizara na michango kwenye huu umoja, na pia wizara ni kubebesha wa TZ mzigo wa kodi.. nimetaja Nimemtaja Membe maana hiyo wizara ya Sitta ingefaa kuwa dawati kwenye ofisi ya Mambo ya njee..
hii haitakuwa mara ya kwanza EAC kuvunjika, hivyo ya pili sitashangaa...
mwisho asante sana, mimi nitamchumbia dada yako, nitamuoa , utakuwa shemeji yangu na kisha nitajenga nitaijenga nchi ya Afrika, ndoto ya wapigania uhuru, ndoto watumwa.. Ubarikiwe Mheshimiwa
tunaruhusiwa kuwa na mitazamo tofauti na hii ndio democrasia.
Kwanza kabisa Ndugu KIJANA wa CHADEMA -- TANZANIA hata siku MOJA haijawa kuwa MWANACHAMA wa ECOWAS (ECOWAS ni Muungano wa KIUCHUMI wa NCHI za Afrika Magharibi eg NIGERIA; GHANA etc) kwahiyo haitawezekana
Pili;Tanzania pia ni Wanachama WA SADCC sio lazima wakimbilie UMOJA wa AFICA 9AU)
Tatu: POLITICS ni DIPLOMACY... Sasa kama Rais wetu hata weza kumjibu Rais wa nchi yoyote KIDIPLOMASIA kuhusu issue yoyote iwe ya KISIASA; KIBIASHARA; KIUCHUMI; KIUTAWALA then atakuwa na Mapungufu... Sababu ukimya huo utadhihirisha jinsi UONGOZI wetu ULIVYO na DOSARI; UNYONGE; UFINYU wa MAELEWA
Nne; Kumbuka kuwa - VITA vya UGANDA kiongozi wa NCHI ya TANZANIA hakuwa huyu wa Sasa yaani Jakaya Kikwete; Tulikuwa na Uongozi Bora Shupavu wenye kujua Diplomasia - Kwahiyo Usilinganisha Madaraka ya Ungwe Moja na Ungwe Nyingine na kusema ni kitu kimoja...
Kuhusu Usuluhishi wa HALI huko KENYA; Kulikuwa na sababu mbalimbali ambazo lazima AMANI lazima ingejadiliwa na kukubaliwa; Sababu ya viongozi hao kufikia MWISHO wa Masuala yao.
Kama ni RAIS wa TAIFA na MPENDA AMANI ni FURSA kujibu chochote NCHI zinazoonyesha kutokuwa na IMANI na NCHI yetu kujibiwa KIDIPLOMASIA... As you know by what is going in this WORLD - ALL WAR REPRESENTS A FAILURE OF DIPLOMACY
toa tanganyika..wacah kutusemea sisi wzanzibari... hatuwapendi vichogo kamanini.. wacha kusema kwa behalf zetu... toa tanganyika yako sio tanzania
Nina wasiwasi mwenye uelewa finyu ni wewe mkuu.
toa tanganyika..wacah kutusemea sisi wzanzibari... hatuwapendi vichogo kamanini.. wacha kusema kwa behalf zetu... toa tanganyika yako sio tanzania
Wazo kuu la Jumuia yoyote ile ni kukubaliana ktk kutokukubaliana! Kwa nini tujitoe? Kama tofauti ndogo ndogo zitaruhusiwa kuwa sababu ya kujitoa tunaweza kujikuta tukijitoa kwenye Jumuia zote ambako ni Wanachama. EAC tunaihitaji kama yenyewe inavyotuhitaji. Kama kuna matatizo/migogoro/kutoelewana nk ni vizuri tukaitafutia ufumbuzi tukiwa ndani kuliko tukiwa nje.
Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu. Tanzania ni mwenda pole, na mwenda pole hajikwai. Hoja yako haina mashiko kwa sababu wewe hauko mipakani mwa Tanzania. Umoja wa Afrika ya Mashariki ya sasa, umeundwa kwa mkataba mgumu sio rahisi kuuvunja vile wewe unavyotaka, Siku zote Tanzania inatumia diplomasia zaidi na sio kukurupuka. Chadema inatokea wapi hapa ama unataka kukidhalilisha kwa mambo ya kukurupuka unapoandika uzi huu? Tunapozungumzia mambo ya nnje ya mipaka yetu tunazunguza kama nchi kwa ujumla na sio chama. Mwisho : vunja kwanza ndoa yako, na mahusiano na familia yako, ndipo uje na uzi wakuvunja eac. Pia kumbuka waziri husika wa Eac ni Samwel Sitta, na wala sio Bernard Membe.
Kwanza kabisa Ndugu KIJANA wa CHADEMA -- TANZANIA hata siku MOJA haijawa kuwa MWANACHAMA wa ECOWAS (ECOWAS ni Muungano wa KIUCHUMI wa NCHI za Afrika Magharibi eg NIGERIA; GHANA etc) kwahiyo haitawezekana
Pili;Tanzania pia ni Wanachama WA SADCC sio lazima wakimbilie UMOJA wa AFICA 9AU)
Tatu: POLITICS ni DIPLOMACY... Sasa kama Rais wetu hata weza kumjibu Rais wa nchi yoyote KIDIPLOMASIA kuhusu issue yoyote iwe ya KISIASA; KIBIASHARA; KIUCHUMI; KIUTAWALA then atakuwa na Mapungufu... Sababu ukimya huo utadhihirisha jinsi UONGOZI wetu ULIVYO na DOSARI; UNYONGE; UFINYU wa MAELEWA
Nne; Kumbuka kuwa - VITA vya UGANDA kiongozi wa NCHI ya TANZANIA hakuwa huyu wa Sasa yaani Jakaya Kikwete; Tulikuwa na Uongozi Bora Shupavu wenye kujua Diplomasia - Kwahiyo Usilinganisha Madaraka ya Ungwe Moja na Ungwe Nyingine na kusema ni kitu kimoja...
Kuhusu Usuluhishi wa HALI huko KENYA; Kulikuwa na sababu mbalimbali ambazo lazima AMANI lazima ingejadiliwa na kukubaliwa; Sababu ya viongozi hao kufikia MWISHO wa Masuala yao.
Kama ni RAIS wa TAIFA na MPENDA AMANI ni FURSA kujibu chochote NCHI zinazoonyesha kutokuwa na IMANI na NCHI yetu kujibiwa KIDIPLOMASIA... As you know by what is going in this WORLD - ALL WAR REPRESENTS A FAILURE OF DIPLOMACY
toa tanganyika..wacah kutusemea sisi wzanzibari... hatuwapendi vichogo kamanini.. wacha kusema kwa behalf zetu... toa tanganyika yako sio tanzania