Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,718
- 13,423
Kamanda wa anga na mwenyekiti wa CHADEMA Taifa mheshimiwa Freeman Alkael Mbowe, muda mfupi kuanzia hivi sasa atahutubia mkutano mkubwa katika viwanja vya Dr slaa(mama John) jijini Mbeya. Atakuwepo pia mbunge wa Iringa Rev Peter Msigwa, mbunge wa kawe Mh. Halima James Mdee, mbunge wa mbozi Mh David Silinde(sauti ya simba), Mh. sugu na wabunge wengine wengi wa CHADEMA,
Kwa aliyeko Mbeya tunaomba updates.
Kwa aliyeko Mbeya tunaomba updates.