Mh Mbowe aendelea kuchanja mbuga Hai

Karibu sana mkuu
da yaani we ni mbishi kwa kweli yaani jana alikuwa na watu 150leo bado unamtukuza tu tatizo wananchi washamchoka wanataka waambiwe amewafanyia nini miaka yote hiyo eye anawaletea malumbano na sabaya
 
da yaani we ni mbishi kwa kweli yaani jana alikuwa na watu 150leo bado unamtukuza tu tatizo wananchi washamchoka wanataka waambiwe amewafanyia nini miaka yote hiyo eye anawaletea malumbano na sabaya
Karibu sana kamanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…