Atakaye ua kwa upanga ..........!Aliyasema hayo wakati akimpongeza spika kwa kuwadhibiti wabunge wanaoleta vurugu bungeni
Video hii hapa chini!
Una maoni gani?
Tumeongea JF watu waliojoin 2017 hawana focus wala kujua kuwa hili ni jukwaa la great thinkers. You are dealing with people who are focused so please think before you jot or just let it pass. You wont loose anything if you say nothing because it will come to haunt you when members start pounding on you.
Kuna malaika aina mbali huyu sijui ni yupiHuyu Malaika ni shidaaa
Malipo ni hapa hapa duniani..yuko wp salmin amour?Atakaye ua kwa upanga ..........!