Njema kabisa
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 699
- 238
Lowassa anawatekenya sana siyo? Huyo ndiyo Rais wa mioyo ya watanzania. Linajulikana wazi. UKAWA wanajipanga subirini tu.
Nataman iwe kwel usemacho tushasubr tamko hatujackia tumechoka kusubir
Lowassa anawatekenya sana siyo? Huyo ndiyo Rais wa mioyo ya watanzania. Linajulikana wazi. UKAWA wanajipanga subirini tu.
Lowassa anawatekenya sana siyo? Huyo ndiyo Rais wa mioyo ya watanzania. Linajulikana wazi. UKAWA wanajipanga subirini tu.
Saliti hili chukua kaliweke kwake. Kwa miaka yote amekuwa upinzani hakuwahi kuleta ufanisi na wabunge kama mwaka 2015. Tena angegombea saliti doctor la Mihongo angeishia kuchimba mihogo tu.Khaa!! Labda rais wa mioyoni mwa nyumbu na wapiga dili. Rais wa mioyoni mwa wazalendo wa nchi hii ni DR W SLAA