Mh Lowassa, Umejitoa au Mbinafsi?

Mh Lowassa, Umejitoa au Mbinafsi?

bnhai

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2009
Posts
2,846
Reaction score
2,401
Mh Lowassa maisha yako yote umekuwa kwenye CCM. Lakini mwaka huu, ukahamia rasmi CHADEMA na kuwa mgombea wa UKAWA. Walikufuata wengi ikiwa ni pamoja na marafiki, ndugu na familia yako.
Ukweli kwa umri wako wengine waliopo katika nyadhifa fulani huamua kupumzika na kula mafao. Inawezekana wewe uliona nchi inapoelekea hapafai na ukajiona umechoshwa na mfumo wa "CCM ni ile ile". Ukajilipua.
Kujilipua kwako hakutakuwa na madhara yoyote kwako maana umemaliza utumishi kwa kiasi fulani. Lakini kujilipua wakati huu kwa namna moja au nyingine ni kukiachia kizazi chako dhana ya usaliti tofauti na ya Sokoine mchapakazi.
Swali hasa; wewe ni mbinafsi ambaye ulijali maslahi yako peke yako bila kujali kizazi chako au wewe ni muhanga ambaye ulitaka Watanzania wanufaike na utajiri wa Taifa lao?
 
Kampeni manager mkenya!

Kikosi cha propaganda kutoka korea

Strategist kutoka Angola!

Walinzi kutoka israel!

Maombi kutoka Nigeria!

Halafu kuna mijitu inafikiria huyu alikuwa analitakia mema taifa!!!
 
Unaposema watoto wake kwani umeshasikia mtoto hata mmoja wa Lowasa kasema yeye ni mwana ccm? Maswali mengine ya kipuuzi kweli lowasa ni mtanzania na watoto wake ni watanzania mpaka watakapoamua kuukana urais. Familia zenye watoto wasiojielewa ndio wanarithishwa siasa za ccm na wazazi wao, hao ndio wangewaita wazazi wao wasaliti maana kitapokuja kuwa chama cha upinzani watalia na kusaga meno, ipo siku hizi rasilimali wanazojinufaisha zitarudi kwa walengwa, na watoto wao ndipo watawalaumu sana wazazi kuwarithisha chaka.
 
Umelikoroga hata ulichoandika hakieleweki. Umevurugwa kwelikweli. Pole yako
 
Ww jingalao ni lini utskuwa na akili ya kiutu uzima? Akili yako kiduchu hata sisimizi anakuzidi
 
Kampeni manager mkenya!

Kikosi cha propaganda kutoka korea

Strategist kutoka Angola!

Walinzi kutoka israel!

Maombi kutoka Nigeria!

Halafu kuna mijitu inafikiria huyu alikuwa analitakia mema taifa!!!

Yaan haamini kabisa Watanzania wenzie, kazizi pekee ambayo hakuajiri ma Expert wa Nje ni kuzungusha Na kunyonga mikono eti mabadiliko kulipa wanairanda randa na bida boda
 
Sasa aliyekwambia lowasa na watoto wake wana njaa ni nani
Pesa alizo hata asifanye kitu chochote anatumia mpaka vitukuu vyake bila kufilisika
 
Kampeni manager mkenya!

Kikosi cha propaganda kutoka korea

Strategist kutoka Angola!

Walinzi kutoka israel!

Maombi kutoka Nigeria!

Halafu kuna mijitu inafikiria huyu alikuwa analitakia mema taifa!!!

mkuu ume mlipua mzima mzima
kama john jihad vile afanyavyo....
 
Last edited by a moderator:
HUJAELEWEKA MLETA MADA!!! Unapouliza swali la ubinafsi kwa lowassa kweny social media huwez pata jibu...muulize hapo edward.lowassa1@gmail.com!! Unaposema sema kaiachia fmilia yake dhana ya usaliti are you his son or daughter?? What gives u the right to speak for them??? Inaweza KUA MSALITI KWAKO NA CCM BUT THIS MAN IS A HERO TO OTHERS!!! Kawapa ujasiri watu weng sana na wapo waliojifunza mengi from him!! Lowassa ni mtu wa familia na wangekua hawamsupport wangesema mbona wa kingunge aliongea wa lowassa hwana midomo??? Kuhama chama na kua chadema ndo usaliti??? ALIVYOHAMA C MLISEMA MNASHUKURU MZIGO UMEONDOKA ASA HUO USALITI WA NN TENA??? Na mpk sshv cdhan hata kuna mjukuu wake anaejutia lowassa kuhama ccm kwa uozo mlinao kiddos will be like "grandpa what didn't u leave sooner?? And m sure u oldy knw this huwez pendwa na kila mtu na usipompenda ww haina maana wenzio hawamtak!! YOU ARE EITHER WITH HIM OR NOT BUT IF U AREN'T WITH HIM SO WHAT??? And for the record this man has more friends than haters!!!!!!!!!!!!!!!!!!! M afraid I can't say the same kwa mtu wenu!!!!!
 
HUJAELEWEKA MLETA MADA!!! Unapouliza swali la ubinafsi kwa lowassa kweny social media huwez pata jibu...muulize hapo edward.lowassa1@gmail.com!! Unaposema sema kaiachia fmilia yake dhana ya usaliti are you his son or daughter?? What gives u the right to speak for them??? Inaweza KUA MSALITI KWAKO NA CCM BUT THIS MAN IS A HERO TO OTHERS!!! Kawapa ujasiri watu weng sana na wapo waliojifunza mengi from him!! Lowassa ni mtu wa familia na wangekua hawamsupport wangesema mbona wa kingunge aliongea wa lowassa hwana midomo??? Kuhama chama na kua chadema ndo usaliti??? ALIVYOHAMA C MLISEMA MNASHUKURU MZIGO UMEONDOKA ASA HUO USALITI WA NN TENA??? Na mpk sshv cdhan hata kuna mjukuu wake anaejutia lowassa kuhama ccm kwa uozo mlinao kiddos will be like "grandpa what didn't u leave sooner?? And m sure u oldy knw this huwez pendwa na kila mtu na usipompenda ww haina maana wenzio hawamtak!! YOU ARE EITHER WITH HIM OR NOT BUT IF U AREN'T WITH HIM SO WHAT??? And for the record this man has more friends than haters!!!!!!!!!!!!!!!!!!! M afraid I can't say the same kwa mtu wenu!!!!!
Swali lina pande mbili hilo ndugu yangu. Moja ni msaliti au aliyejitoa. Soma vizuri kilichoandikwa.
 
Swali lina pande mbili hilo ndugu yangu. Moja ni msaliti au aliyejitoa. Soma vizuri kilichoandikwa.

My point is hutapata jibu la kuridhisha hapa..labda kama lengo lilkua ni kumdiscuss EL ila kama unatafuta jibu la kweli ni yy tu anaweza kukupa!!! Pili swali lako ndo majibu utayopata humu ndani wengine watakuambia msaliti na wengine watasema amejitoa mhanga so at the end of day utakua hujapata jibu!!!
 
Sasa aliyekwambia lowasa na watoto wake wana njaa ni nani
Pesa alizo hata asifanye kitu chochote anatumia mpaka vitukuu vyake bila kufilisika

Kwahiyo asiye na njaa hatakiwi kujadiriwa katika nchi yetu? kumbe tunatakiwa kuwajadiri maskini tu?
 
Kutoka ccm au kuingia ccm nani anakuwa msaliti? Au wewe kwako ccm ndiyo Tanzania? Nadhani ni wasaa sasa watanzania wajitambue kuwa sote tuko kwa ajili ya Tanzania na si vyama vyetu. Lowassa yuko sahihi kabisa na kwangu ni mzalendo
 
Kutoka ccm au kuingia ccm nani anakuwa msaliti? Au wewe kwako ccm ndiyo Tanzania? Nadhani ni wasaa sasa watanzania wajitambue kuwa sote tuko kwa ajili ya Tanzania na si vyama vyetu. Lowassa yuko sahihi kabisa na kwangu ni mzalendo
Ndio maana sentensi ya mwisho nimeiacha wazi kwa watu kutoa maneno mie sijatoa hitimisho
 
Lowassa anawatekenya sana siyo? Huyo ndiyo Rais wa mioyo ya watanzania. Linajulikana wazi. UKAWA wanajipanga subirini tu.
 
My point is hutapata jibu la kuridhisha hapa..labda kama lengo lilkua ni kumdiscuss EL ila kama unatafuta jibu la kweli ni yy tu anaweza kukupa!!! Pili swali lako ndo majibu utayopata humu ndani wengine watakuambia msaliti na wengine watasema amejitoa mhanga so at the end of day utakua hujapata jibu!!!
Kwenye forum hakuna majibu bali hoja na kila mtu anachambua linalofaa. Kuna tatizo mgombea Urais na mtumishi aliyetukuka wa nchi yetu kujadiliwa?
 
Kampeni manager mkenya!

Kikosi cha propaganda kutoka korea

Strategist kutoka Angola!

Walinzi kutoka israel!

Maombi kutoka Nigeria!

Halafu kuna mijitu inafikiria huyu alikuwa analitakia mema taifa!!!
Khaa!! Makavu Live.. Mwacheni mzee apumzike bana 😎
 
Kampeni manager mkenya!

Kikosi cha propaganda kutoka korea

Strategist kutoka Angola!

Walinzi kutoka israel!

Maombi kutoka Nigeria!

Halafu kuna mijitu inafikiria huyu alikuwa analitakia mema taifa!!!

Hii nimeipenda kwelikweli.. nakupa like
 
Lowassa anawatekenya sana siyo? Huyo ndiyo Rais wa mioyo ya watanzania. Linajulikana wazi. UKAWA wanajipanga subirini tu.
Khaa!! Labda rais wa mioyoni mwa nyumbu na wapiga dili. Rais wa mioyoni mwa wazalendo wa nchi hii ni DR W SLAA
 
Back
Top Bottom