kweli we msomi uchwara kwako tulipoteza adaUmakini ukizidi sana hupelekea tatizo
Hii ndio style yetu ya maisha siku hizi, kila kauli tutaikosoa. hebu fikilia angesema hivi.I see. Bila shaka kutaimarisha foleni na kuongeza muda wa safari. Lakini, kupima kilevi madereva ni jambo zuri na la kheri. Ila, napingana na huo utaratibu unaotaka kutumika kwa hizo sababu za foleni kubwa na kurefusha muda wa safari. Waziri anaweza kuomba na kupata ushauri wa wadau.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mh Kangi Lugola akiongea na East Africa Redio asubuhi kwenye kipindi cha Breakfast ameagiza kupimwa kilevi kwa kila dereva wa ambaye gari yake inapitia kupimwa uzito kwenye mizani mpaka mwisho wa safari na kurekodiwa ktk log book.
Yaani wabongo ni shida sana aiseee .....hawana dogo kabisa....Hii ndio style yetu ya maisha siku hizi, kila kauli tutaikosoa. hebu fikilia angesema hivi.
1.Waziri: wapimwe mwanzo wa safari
Wakosoaji: Sasa si atasubiri apimwe zen anakunywa safari nzima
2. Waziri: wapimwe katikati ya safari.
Wakosoaji: mbona miaka yote wanapima haijasaidia chochote.
3.Waziri: wapimwe kilevi mwisho wa safari.
Wakosoaji: Sasa mwisho kama ni ajari si itakuwa imeisha tokea tayari wanazuia nini sasa.
4.Waziri: wapime kila kituo cha mizani
Wakosoaji: watasababisha foleni
Anyway ndio maisha tuliochagua na tumeambiwa kupinga na kukosoa ndio kazi ya upinzani na kazi yenu mnaifanya sawasawa.
Apige marufuku unywaji wa pombe.Toa ushauri kwa Waziri sasa afanyaje....
Ameshasema waziri anaweza akaomba ushauri kwa wadau,huo ndio ushauri wake wa kwanza,sasa cjui ulitaka ashauri nn tenaToa ushauri kwa Waziri sasa afanyaje....