Mh jk tatizo la umeme mpaka lini

Mh jk tatizo la umeme mpaka lini

mtimbaru

Member
Joined
Jun 17, 2011
Posts
74
Reaction score
10
MH RAIS- Tatizo la umeme ni kubwa sana ,uchumi wa nchi unashuka,elimu inashuka ,umaskini unazidi kuongezeka.ushauri wangu fanya maamuzi magumu kopeni fedha kwenye mabenki ya ndani na mnunue jenereta ili kutatua tatizo,mh rais ukifanya hivi utajijengea heshima na imani kwa wananchi
 
Back
Top Bottom