Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
Pasco huu uswahiba wa kubebeana zigo lote lile, kweli?
Binafsi kama kweli alimbebea swahiba wake zigo la dhambi basi hatufai...
Ndio maana kuna concept za reward and punisment; huwezi kuwa rewarded kwa kukosea au kuwa punished kwa kufanya kwa usahihi! Ningemuona wa maana kama tu angemwacha anayestahili adha u ajibebee adhabu yake, angekuwa katusaidia saaana watanzania...
Yaah na ndio maana strategies za kumsafisha haziwaingii watu akilini.
past ya bwana Lowasa leaves more questions that answers.
Mliochukua mlungula wa kumsafisha, kazi mnayo.