Mkuu sijakata tamaa. Nataka tupate mbinu bora kabisa ya kuweka mambo sawa ambayo inaweza ikawa na ufanisi mkubwa. Hata askari wanapopigana, kuna muda hupeleka mashambulizi lakini wakiona mbinu haijakaa sawa wanarudi nyuma kidogo halafu wakija sasa usiombee kichapo chake.pia wanaweza wakatumia mbinu ya kuzunguka na kuzingira kabla ya kushambulia.Sio woga ni mbinu mkuu.