Huyu Beatrice ananikumbusha ushahidi mmoja uliotolewa na mwanamke mmoja nchini Kenya miaka ya nyuma sana kwenye kesi maarufu sana. Huyu mwanamke ushahidi wake mahakamani ulitiliwa mashaka kwa vile ALIKUWA NA WATOTO SABA ALIOZAA NA WANAUME TOFAUTI SABA NA AMBAO HAKUWAKUMBUKA!!! Ukishazurura namna hii watu hawatakuchukulia kuwa unasema ukweli wowote pengine kama uwe ni upotoshaji ili watu tusahau shida zetu za msingi kama umeme.