Mh Benjamini Mkapa peke yake ndie anayefaa 2015:

Mh Benjamini Mkapa peke yake ndie anayefaa 2015:

Sengeon

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2011
Posts
529
Reaction score
113
Nikijaribu kufikiria mtu sahihi ambaye ccm wamsimamishe 2015 Ni B. W. Mkapa. Sababu kubwa nilioiona kuwa mkapa anafaa ni kuwa huyu mzee hajawahi kupwaya ktk uongozi wake alipokuwa Rais. Alipambana na mfumuko wa bei, thamani ya shilingi ilikuwa nzuri tofauti na sasa, na uchumi ulikuwa uko vizuri tofauti na sasa. Kwa mfano k-shs 1000/= ni sawa na t-shs 18650/=. Mkapa hakuwa mtu wa kubabaishwa na alijiamini pale anapofanya maamuzi magumu. Kama ccm inataka mtu sahihi 2015 basi imsimamishe Ben Mkapa.
 
Ni kweli japo nae alikua mwizi lakin angalau alikumbuka raia wakee
 
Ingalikuwa anayefaa anabakia kuwa yuleyule tunayemfahamu hata uimara, umahiri na ushupavu wa Mhe. B. W. Mkapa tusingaliujua. Hata udhaifu wa Kikwete tusingeujua. Wapo watanzania wengi tusiowajua uwezo wao. Ilikumjua mtu mpe fursa utamjua tu. Wengine ni wazuri lakini hawajitokezi tuwatafute, wengine hawafai lakini wanajinadi kila siku tuwachunguze nia zao za dhati tukizijua tuwakatae. Maisha yanaenda mbele hayarudi nyuma. Vipi wewe unataka turudi nyuma?
Nikijaribu kufikiria mtu sahihi ambaye ccm wamsimamishe 2015 Ni B. W. Mkapa. Sababu kubwa nilioiona kuwa mkapa anafaa ni kuwa huyu mzee hajawahi kupwaya ktk uongozi wake alipokuwa Rais. Alipambana na mfumuko wa bei, thamani ya shilingi ilikuwa nzuri tofauti na sasa, na uchumi ulikuwa uko vizuri tofauti na sasa. Kwa mfano k-shs 1000/= ni sawa na t-shs 18650/=. Mkapa hakuwa mtu wa kubabaishwa na alijiamini pale anapofanya maamuzi magumu. Kama ccm inataka mtu sahihi 2015 basi imsimamishe Ben Mkapa.
 
bora Mkapa

Duu na zile nyumba zilizo salia sehemu muhimu tanzania nadhani watapewa wajukuu hii ipo tanzania tu kujiuzia mali za uma sijawahi ona nchi nyingine hata mugabe hathubutu kufanya hii mambo hovyo kabisa viwanda vyote vimebaki magodawni sijaona bado.
 
Kumfikiria Mkapa kwenye urais 2015 ni matusi kwa Watanzania wote
kuwa hawafai ila Mkapa peke yake. Mshindwe na mlegee...
 
Hakuna binadam aliyekamilika nae alikuwa na mapungufu lkn binafsi namkubali sana. Licha ya mfumuko wa bei na uimara wa salafu kikubwa zaidi madawa yote ya muhm yalipatikana hosp za serikali. Ni kipindi hicho tulishuhudia drs wa ptivate walijisalimisha serikaln kuomba kazi.
 
Huyu Mzee alikuwa ngangari na hana mchezo na mtu ingawaje naye ana mapungufu yake. Mtu sahihi wa kusimamishwa na CCM ni Mzee Mkapa. Mtaona nchi itakavyopaa.
 
Back
Top Bottom