FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,830
- 109,111
Nani alikukataza kufanya maandalizi?Uko sahihi lakini huo ukulima wa kisasa una maandalizi yake haufanywi kiholela bila miundombinu ya gharama.
Nani alikukataza kufanya maandalizi?Uko sahihi lakini huo ukulima wa kisasa una maandalizi yake haufanywi kiholela bila miundombinu ya gharama.
Mleta mada bado upo mbali sana. Mahindi siku hizi yanavunwa mara 4 kwa mwaka. Anza kulima kisasa ufaidike, achana na mazoea.
Isome Qur'an, kilimo utakielewa tu.We bibi kwenye kilimo hujui lolote rudi kwenye wako wa Quran tukufu
Yana bei kubwa yapo mikononi mwa wafanyabiashara siyo kwa wakulima.
Mkuu tukiachana na mabadiliko ya tabia nchi kumbuka mazingira ya kibiashara yanatengenezwa na forces mbili,demand na supply ambazo mfanyabiashara anacheza nazo. Na ili uweze kufanya hivyo unahitaji mtaji mkubwa ambao siyo rahisi mkulima wa kawaida kuwa nao. Wafanyabiashara wanachokifanya ni sahihi kabisa katika soko huria unatengeneza demand kwa kununua mzigo mkubwa kipindi supply ikiwa kubwa unahifadhi baadae unakuja kuuza kwa faida. Hizi stori za sijui kangomba,bei elekezi ni siasa za kutafuta wapiga kura kwa kuwa wengi ni wakulima wadogo ila soko huria halina features hizoKauli ya Mheshimiwa bungeni kuwa bei iliyopanda ya mahindi ni faida kwa wakulima hakika si kweli na uwazi kuwa hujui tabu za wakulima.
Mahindi huanza kuvunwa mwezi wa 4 hadi wa 7 na ndiyo miezi ambayo wakulima huhitaji mazao yao yanunuliwe na serikali au na wafanyabiashara kwa bei nzuri ili waweze kulipa ada na mahitaji mengine.
Kwa bahati mbaya, serikali hainunui bali huwaachia wafanyabiashara wanaonunua kwa bei ya kunyonga na wakati huu wakulima maghala yamekauka wananunua mahindi waliyouza mteremko kwa walanguzi.
Leo Waziri anasema mkulima anafaidika wakati sio kweli, anayefaidika ni mfanyabiashara kwa sasa. Waziri usipende kupata sifa za uongo wakati serikali kuhusu kilimo ilishachemka.
Mahindi yote yanayouzwa bei ghali yanatoka katika maghala ya wafanyabiashara na sio wakulima.
Waziri rudi ukajiridhishe sioni mipango mizuri ya kumuokoa mkulima zaidi ni propaganda tu.
Akalime kisasa wapi.....!? Hoyo miundo mbinu ya kulima mara nne kwa mwaka ipo wapi Tanzania!Mleta mada bado upo mbali sana. Mahindi siku hizi yanavunwa mara 4 kwa mwaka. Anza kulima kisasa ufaidike, achana na mazoea.
Hao wakulima wadogo wanauwezo. au wamewezeshwa kulima kisasa na kuvuna mara nne?Mleta mada bado upo mbali sana. Mahindi siku hizi yanavunwa mara 4 kwa mwaka. Anza kulima kisasa ufaidike, achana na mazoea.
Wawezeshwe mara ngapi? Siku zote wanaambiwa jikusanyeni mshirikiane mkachukue mikopo bila riba. Huyajuwi hayo? Hayajaanza leo.Hao wakulima wadogo wanauwezo. au wamewezeshwa kulima kisasa na kuvuna mara nne?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujui chochote kuhusu kilimo cha kujikimu na wakati mwingine si lazima uchangieWawezeshwe mara ngapi? Siku zote wanaambiwa jikusanyeni mshirikiane mkachukue mikopo bila riba. Huyajuwi hayo? Hayajaanza leo.
Wewe nawe umekuwa lopolopo tu siku hizi. Hujui lolote kuhusu kilimo cha vijijini.Mleta mada bado upo mbali sana. Mahindi siku hizi yanavunwa mara 4 kwa mwaka. Anza kulima kisasa ufaidike, achana na mazoea.
Ninaishi kijijini na ni mkulima.Wewe nawe umekuwa lopolopo tu siku hizi. Hujui lolote kuhusu kilimo cha vijijini.
Hata kama unaishi kijijini na unalima, kwa hoja yako ni wazi huna ufahamu mpana wa jiografia ya nchi na ekolojia yake.Ninaishi kijijini na ni mkulima.
Una jengine?
Hawa wakulima wanahitaji elimu sahihi kulingana na mabadiliko ya tabia ya nchi, wanahitaji masoko ya uhakika na hili ndio tatizo kubwa mara nyingi wanalima vizur tatzo ni soko na hapa wanufaika wakubwa ni wafanyabiashara wanaenda kulangua mazao kwa wakulima.Wawezeshwe mara ngapi? Siku zote wanaambiwa jikusanyeni mshirikiane mkachukue mikopo bila riba. Huyajuwi hayo? Hayajaanza leo.