MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,183
- 2,304
Mwanzo alionekana mwanamke mpiganaji shupavu asiyeogopa. Kumbe ni alikuwa anawakamia dawa maadui zake. Alipoona Mwakembe kapewa sumu na 6 kunyimwa ubunge akafyata na kuchukua mwelekeo wa kuwafurahisha waliomfikisha alipo.
Tunajiuliza nn kimekupata kututelekeza au umeshachukua chako kwa mafisadi ukasema kufilieni mbali? Mama we really miss u. Je unatarajia kurudi tena kutupigania au ndo mbele kwa mbele? Umeonekana kampeni za uchaguzi wa diwani Dodoma je Arumeru utakwenda kuhamasisha.
U know we miss U na tunataka kujua kama bado uko na ss au mwenzetu umekwenda mafichoni kukwepa sumu . Ila tokeza hata Arumeru Mashariki kwenye kampeni mama CDM tumekumis mno mno!!
Tunajiuliza nn kimekupata kututelekeza au umeshachukua chako kwa mafisadi ukasema kufilieni mbali? Mama we really miss u. Je unatarajia kurudi tena kutupigania au ndo mbele kwa mbele? Umeonekana kampeni za uchaguzi wa diwani Dodoma je Arumeru utakwenda kuhamasisha.
U know we miss U na tunataka kujua kama bado uko na ss au mwenzetu umekwenda mafichoni kukwepa sumu . Ila tokeza hata Arumeru Mashariki kwenye kampeni mama CDM tumekumis mno mno!!