hmjamii
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 627
- 312
Nawashangaa hawa Wabunge Wazanzibari, Ally Kessy jana kawasaidia sana lakini kwa fikra zao finyu hawakuliona hilo.
Kwani pesa zinazoendesha muungano hazitoki kwenye makusanyo ya muungano? Kama zinatoka kwanini tunasema hawachangii?