Mgomo Wa Walevi

Mgomo Wa Walevi

AgentX

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2015
Posts
1,651
Reaction score
1,700
Hapo ktk picha ni mgomo wa walevi wakishika mabango wakishinikiza wapewe haki yao.
attachment.php

Ilikuwa mwaka1931

Je Unahisi huku Tanzania watu wakinyimwa haki hiyo wanaweza kugoma?
 

Attachments

  • walevi.png
    walevi.png
    73.5 KB · Views: 2,034
Walevi wa Tanzania hawawezi kunyimwa haki hii kwa sababu hata serikali inategemea bajeti yake kwa asilimia kubwa kutoka kwa hawa walevi
 
Msiwaite walevi, waiteni wanywaji wazuri!
 
Kuzuia unywaji wa bia Tanzania ni ngumu kama vyama vya upinzani kutoa mgombeaa urais mmoja mwaka huu!
 
Ukizuia beer taifa litasimama. Even for 1hour itatangazwa hasara ambayo haijawah tokea tangia uhuru
 
Hapo ktk picha ni mgomo wa walevi wakishika mabango wakishinikiza wapewe haki yao.
attachment.php

Ilikuwa mwaka1931

Je Unahisi huku Tanzania watu wakinyimwa haki hiyo wanaweza kugoma?
[/QUOTE
Umejuaje kuwa ni walevi? Kwa vile umeona mabango ya bia? au we ni wa dini ileeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Ukilinganisha wagomaji hao wa majuu na hiyo ya walevi wa bongo tofauti ni kubwa hasa kwa matumbo, jamaa hawana vitambi, inabidi tufanye research beer zao zinatengenezwaje?
 
Hapo ktk picha ni mgomo wa walevi wakishika mabango wakishinikiza wapewe haki yao.
attachment.php

Ilikuwa mwaka1931

Je Unahisi huku Tanzania watu wakinyimwa haki hiyo wanaweza kugoma?
[/QUOTE
Umejuaje kuwa ni walevi? Kwa vile umeona mabango ya bia? au we ni wa dini ileeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Mkuu mimi ndo nimeposti picha na najua source usilete udini hapa hao walevi. Mimi pia ni mnywaji ila situmii bia.
 
Ukilinganisha wagomaji hao wa majuu na hiyo ya walevi wa bongo tofauti ni kubwa hasa kwa matumbo, jamaa hawana vitambi, inabidi tufanye research beer zao zinatengenezwaje?

Malting process nahisi tofauti. Au cheki walevi wa Germany tofauti na huku..... Ngano ndo tatizo i think........
 
Back
Top Bottom