RedDevil
JF-Expert Member
- Apr 30, 2009
- 2,367
- 1,519
Najua si wote, ni mamluki wachache wanaowachafua wapiganaji wa UDOM walioko nasi.
Poleni sana, hizo ni changamoto zinazoikabili hii nchi karibu kila chuo. Jitahidi ujumbe ufike kwa watanzania wote.
Ila kwenu hapo, inabidi huo moto muendelee nao ikiwezekana hao wasaliti wenu wanaojipendekeza CCM wapeni onyo.
Mapambano yaendeleee vijana hakuna kurudi nyuma!! Mapinduzi halisi yeyote yale katika nchi yeyote ile, HUANZIA VYUO VIKUU.
Poleni sana, hizo ni changamoto zinazoikabili hii nchi karibu kila chuo. Jitahidi ujumbe ufike kwa watanzania wote.
Ila kwenu hapo, inabidi huo moto muendelee nao ikiwezekana hao wasaliti wenu wanaojipendekeza CCM wapeni onyo.
Mapambano yaendeleee vijana hakuna kurudi nyuma!! Mapinduzi halisi yeyote yale katika nchi yeyote ile, HUANZIA VYUO VIKUU.