MLIPAKODI
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 234
- 90
Kuna ujumbe unasambazwa na wafanyabiashara kufunga biashara nchi nzima kesho. Ujumbe huo ni huu hapa
"Breaking News,tarehe 11/02/2015, M/kiti wa wafanyabiashara anapandishwa kizimbani, kwa hiyo wafanyabiashara wote wanatakiwa kufunga biashara zao zote, pamoja na magari kutofanya safari zake yale ya safari ndefu na fupi.TANGAZO HILI NI MHIMU, mrushie mwenzio..."
My take: Serikali kwanini haiwasikilizi wafanyabiashara na kutatua matatizo yao? Wafanyabiashara wakifunga maduka nchi nzima serikali itaingia hasara ya shilingi ngapi?
Kazi kwenu wadau, nawasilisha.
"Breaking News,tarehe 11/02/2015, M/kiti wa wafanyabiashara anapandishwa kizimbani, kwa hiyo wafanyabiashara wote wanatakiwa kufunga biashara zao zote, pamoja na magari kutofanya safari zake yale ya safari ndefu na fupi.TANGAZO HILI NI MHIMU, mrushie mwenzio..."
My take: Serikali kwanini haiwasikilizi wafanyabiashara na kutatua matatizo yao? Wafanyabiashara wakifunga maduka nchi nzima serikali itaingia hasara ya shilingi ngapi?
Kazi kwenu wadau, nawasilisha.