MLIPAKODI
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 234
- 90
Nimepata taarifa kutoka kwa wadau fulani kwamba kesho mwenyekiti wa wafanyabiashara Tanzania Bwana Minja anapandishwa kizimbani Dodoma.
Kwa hiyo wafanyabiashara wanaendeleza mgomo wao wa kutofungua biashara siku mwenyekiti wao anapopandishwa kizimbani.
My take: Nimemsikiliza Minja kwenye power breakfast asubuhi anasema suala hili lilikuwa kwenye mazungumzo Kati jumuiya ya Wafanyabiashara na TRA, so kwanini serikali imfungulie kesi huyu Minja wakati suala liko katika mazungumzo.
Kwa hiyo wafanyabiashara wanaendeleza mgomo wao wa kutofungua biashara siku mwenyekiti wao anapopandishwa kizimbani.
My take: Nimemsikiliza Minja kwenye power breakfast asubuhi anasema suala hili lilikuwa kwenye mazungumzo Kati jumuiya ya Wafanyabiashara na TRA, so kwanini serikali imfungulie kesi huyu Minja wakati suala liko katika mazungumzo.