Ule mgomo wa wa wabunge wa CCM unaendela licha ya mkwara wa spika kuwa hakuna kutoka buneni bila idhini yake na waziri mkuu. Sasa bajeti zote zinajadiliwa na kambi ya upinzani na amebaki Lukuvi tu kutetea hoja. Kama unabisha, angalia bunge sasa hivi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.