Walimu tupo nyuma yenu katika mgomo huu.Nimefurahi kusikia walimu mwaka huu hamna utani na serikali katika kudai stahili yenu.Kwanza huwa najiuliza hivi serikali inaona uzito gani kuwaomba msamaha walimu kwa kuwacheleweshea malipo yao halali? Halafu inakuja juu na kuwatishia kana kwamba wanadai kisichawahusu?
Walimu hapa hamna jinsi pesa zenu nahakika zipo ila kunahitajika MGOMO MKUBWA ILI KUZIPATA tupo nyuma yenu WATANZANIA ingawa watoto wetu ndio watakaoathirika.