Mgomo wa vyombo vya usafiri trh 20/04/2015

Mgomo wa vyombo vya usafiri trh 20/04/2015

MLIPAKODI

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
234
Reaction score
90
[22:28, 9/04/2015] mlipakodi: KWA madereva nako kimenuka
Ijumaa tarehe 10/04/2015 Kutakuwa na Mkutano Wa madereva wote Tanzania nzima. Mahali pa kukutania ni ubungo stand ya mabasi saa moja kamili. Kufika kwako ndio ukombozi wetu sisi sote kwani ni lazima tuionyeshe hii serikali iliyokataliwa kuwa sisi madereva ni wasomi na tunajitambua.
Tunamaanisha madereva wote sio tu wa pikipiki, bajaji, tax , mabasi , malori bali namaanisha dereva yoyote yule. Usipofika utakuwa umeiunga mkono serikali hii iliyokatalawi na wananchi na umeisaport ili kila baada ya miaka mitatu dereva urudi darasani kusoma na ada itakuwa ni Tsh. 500,000/= badala ya kurinyiu leseni

NB:
Mbunge wa ubungo Kijana aliyeonyesha uwezo mkubwa wa kuchambua kanuni za Kibunge pia The Super Intellectually wa ubungo Mh. sana JOHN JOHN MNYIKA atakuwepo.

Na upatapo ujumbe huu sambaza kwa njia yoyote ili uijuayo.
[22:36, 9/04/2015] mlipakodi: TANGAZO.
Kuanzia kesho Saa 6 mchana Barabara Ya TUKUYU, NANENANE, MWANJELWA, SOKOMATOLA, STAND KUU Kwenda TUNDUMA, Na mzunguuko, wote wa MBEOYA mjin,. zitafungwa hairuhusiwi, mtu, gar, pikipiki, wala chochote kukatiza kwasababu. mimi nitakua najifunza BAISKEL wajulishe na wenzio.
Ndio ujumbe unaosambazwa Leo.
My take hii serikali inaelekea wapi kama Kila kunapokucha migomo has secta nyeti kama biashara na usafiri n.k?
 
madereva wote hamna maana kila siku mnauwa watu harafu hamtaki kurudi shule....ebooo!
 
Leo tanga wameua 17 bora mnyang'anywe leseni kuliko kuwapa uyatima watoto wetu
 
[22:28, 9/04/2015] mlipakodi: KWA madereva nako kimenuka
Ijumaa tarehe 10/04/2015 Kutakuwa na Mkutano Wa madereva wote Tanzania nzima. Mahali pa kukutania ni ubungo stand ya mabasi saa moja kamili. Kufika kwako ndio ukombozi wetu sisi sote kwani ni lazima tuionyeshe hii serikali iliyokataliwa kuwa sisi madereva ni wasomi na tunajitambua.
Tunamaanisha madereva wote sio tu wa pikipiki, bajaji, tax , mabasi , malori bali namaanisha dereva yoyote yule. Usipofika utakuwa umeiunga mkono serikali hii iliyokatalawi na wananchi na umeisaport ili kila baada ya miaka mitatu dereva urudi darasani kusoma na ada itakuwa ni Tsh. 500,000/= badala ya kurinyiu leseni

NB:
Mbunge wa ubungo Kijana aliyeonyesha uwezo mkubwa wa kuchambua kanuni za Kibunge pia The Super Intellectually wa ubungo Mh. sana JOHN JOHN MNYIKA atakuwepo.

Na upatapo ujumbe huu sambaza kwa njia yoyote ili uijuayo.
[22:36, 9/04/2015] mlipakodi: TANGAZO.
Kuanzia kesho Saa 6 mchana Barabara Ya TUKUYU, NANENANE, MWANJELWA, SOKOMATOLA, STAND KUU Kwenda TUNDUMA, Na mzunguuko, wote wa MBEOYA mjin,. zitafungwa hairuhusiwi, mtu, gar, pikipiki, wala chochote kukatiza kwasababu. mimi nitakua najifunza BAISKEL wajulishe na wenzio.
Ndio ujumbe unaosambazwa Leo.
My take hii serikali inaelekea wapi kama Kila kunapokucha migomo has secta nyeti kama biashara na usafiri n.k?

Mimi takuja na maswali yangu yatakuwa juu ya wengi wenu kama sio wote kutokufuata sheria za barabarani huku tukiangalia ile video kama hizi!! Halafu nyie wenyewe mnaambiana hamna 'akili' (sikia kwenye video), sasa kwa nini msiende kozi mkapate 'akili'?





 
Last edited by a moderator:
[22:28, 9/04/2015] kwani ni lazima tuionyeshe hii serikali iliyokataliwa kuwa sisi madereva ni wasomi na tunajitambua.

Kama ni wasomi na wanajitambua kwa nini hawataki kufanya further training?

Ukiwamba CPD - continuous professioanal development zao tokea wapass driving test sijui kama watakuwanazo.

Kama wewe ni msomi halafu unakimbia training ya kazi unayofanya basi utakuwa na matatizo.

Unless labda wana sababu nyingine za msingi, continuous training kwa madereva wa mabasi ni lazima.
 
 
Last edited by a moderator:
tatizo sio continous training, tatizo ni hiyo ada asee,,tatizo watu wanataka wapige hela kupitia humohumo
 
Back
Top Bottom