Mgomo wa madaktari wasababisha vifo 19 bugando

Mgomo wa madaktari wasababisha vifo 19 bugando

Nilufer

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
9,762
Reaction score
14,005
nilikuwa ninaaangalia taarifa ya habari ya star tv, na nikakutana na habari hii kwamba watu 19 wamefariki dunia kutokana na mgomo wa madaktari katika hospitali ya bugando. sasa kama idadi hii ni bugando 2. vp kuhusu muhimbili na kwingineko. jamani hizi pande zinazovutana hebu tafuteni namna ya kumaliza huu mgogoro,tuoneeeni huruma wanyonge ambao hatuna hatia yoyote.
 
is it Bugando or Sekou Toure? which is which
 
Viongozi wetu hawaoni hatari kwa vile hakuna mwenzao aliyekufa wala ndugu yao!
 
Back
Top Bottom