Mgomo WA kufanya ngono kati ya wanaume na wanawake wote.

Jembemtaji

JF-Expert Member
Aug 21, 2014
1,193
926
Tujadiliane hii hoja kwa mapana na kisayansi zaidi.
Mgomo gani utakua na athali kubwa zaidi kati ya wanaume na wanawake wakigoma kufanya tendo la ndoa

Karibu kwa mjadala kila hoja iwe na sababu.
 
Hamna itakayemuathiri sio basic needs kwan lazma ukiwa na mpenzi mfanye hayo mambo
 
Sijajua kwa sababu sijamnyima unyumba baba watoto nikapata experience zaidi
 
Wanawake msijitusu kugoma hakyanani MADADA POA WATAPIGA PESA YA MAANA.!
 
Back
Top Bottom