Mgomo wa Daladala Mbeya

Mwanongwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2023
Posts
879
Reaction score
814
Madereva Dalala jijini Mbeya wameanza mgomo wao ambao wamedai utadumu kwa muda wa wiki moja kutokana na kuzitaka Bajaji kuacha kutumia ruti ambazo zinatumika na dalala.hali hii imekuwa kero kwa wananchi wa jiji hilo
Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Kama ni kero kwa wananchi, mbona hawajagoma ama kuandamana Wananchi wenyewe? Jamaa hawataki ushindani kabisa, na usikute wanapambania Monopoly ili wageuke miungu watu kunyanyasa abiria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…