Mgomo wa chuo kikuu RUCO Iringa

Hata ikulu kuna mgomo wa unyumba ni vile tu haitanzazwi.
 
Pumbavu hao buum na siasa vinaendaje kama huna boom n ww hiyo n aki ya mwanafunzi nyie ndusti
 
kitu kidogo tu UKAWA,, hizo hela wangezitoa kwa wakat nan angegoma?..... ukawa inawanyima watu usingiz
CCM nakupenda kwa kuwa umeleta maisha bora hata kwa wanachuo wetu! Kazi kwelikweli!
 
Tatizo wachangia mada wapo kisiasa hivi haki ya mtu utaletaje siasa kitu kama hujui kaa kimya tu mtu hana hela unataka ale nn au yupo kwao hapo chuoni kila kitu hela utashangaa nini wakigoma
 
Akili hawana bora wapingwe hata kufukuzwa wafukuzwe pumbavu zao kazi kushikwa masikio kila siku piga tu soldier
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…