Heheh block G...kama napaona vile...acheni uduwanzi nyie chuo pipo,cha msingi someni mchana..
Ndo yaleyale hata shuttle za hostel walikuwaga wanataka zipewe special favour kwenye folen et kisa wanawahi darasani,WTF....kwani watanzania wenzenu hawana haraka,kwani na wao hawaupendi umeme?
Af wagomaji wengi ni wale wanaotoka sitimbi na mikoani huko,na umeme makwao hamna,..