leo wanafunzi wa college ya educaton wameandamana had utawala udom na kuambiwa kwamba bum had ijumaa je litatoka?
Na maisha ya huko tunaaminishwa ni makali sana kuliko sehemu yoyote ile
Na maisha ya huko tunaaminishwa ni makali sana kuliko sehemu yoyote ile
Tunaiomba serikali yetu isawafanye wananchi wakaamini kwamba haki lazima ipatikane kwa migomo. Kila kiongozi atimize wajibu wake ili kuepuka migogoro isiyo ya lazima. Kuna umuhimu pia wa kutoa taarifa kwa wahusika ili wajue nini kinaendelea. Kumbukeni 'lack of communication brings chaos'.