Hatua yoyote ile ya kugoma kutoa huduma kwa WATANZANIA wasio na hatia haitakubalika. Kwa sasa watanzania tutalaani na kupinga action yoyote kwa madaktari wanayokusudia kuchukua. Hatua hiyo ni kama uhaini kwa kukusudia kuua raia wema wanaokamuliwa kodi kwa kusomesha na kuwalipa mishahara wataalamu. Tunaamini bado kuna nafasi ya kukaa na kupata muhafaka kupitia meza ya majadiriano bila kuilazimisha, kuisulutisha na kuiwekea mashariti ya kuidhalilisha serikali eti kwa kwa kigezo ni kada muhimu. Serikali ina utaratibu wake ambao inapaswa uheshimiwe na watu wote kwa mujibu wa katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania. Pia tunatoa mwito kwa serikali kuheshimu taaluma za wataalamu wetu kwa kuwapatia vitendea kazi na maslahi yanayokidhi taaluma husika. Suala la kada ya afya lishughulikiwe kwa ujumla wake kwa kuzingatia wataalamu wote waliopo katika kada hiyo bila kuwabagua maana wanategemeana bila kusema Daktari ni bora zaidi, kinyume na hapo ni kuzalisha Crisis nyingine ndani ya kada ya Afya kwa kusababisha chuki kati yao na mgomo baridi utakaoleteleza kuzorotesha huduma ya Afya. Hatua kwa hatua na kwa kasi, Serikali iboreshe maslahi kwa watumishi wake, maana tukisema Sekta ya Afya ni muhimu zaidi, je Walimu wanaopigana kuondoa ujinga na kuzalisha hao wataalamu wa Afya wao si ni bora zaidi? SERIKALI ISIJIINGIZE KATIKA MTEGO WA KUONA KADA NYINGINE NI BORA ZAIDI KWA MAANA KADA ZOTE ZINATEGEMEANA! Mfanyakazi wa TRA si bora zaidi, kuliko mtaalamu wa Afya za Mazingira, Mkemia au mhandisi, Mwanajeshi si bora zaidi Kuliko Daktari, na wala Daktari si bora zaidi kuliko Mwalimu, na Wala WABUNGE si bora kuliko watu wengine. Na kinyume chake ni hivyo hivyo. Tofauti inayoweza kujitokeza, madharani ni kwa kuhamasisha wanafunzi wengi wapende masomo ya Sayansi, hivyo ili linaweza kufanyika kwa wataalamu wa sayansi kupewa motisha na hata ikibidi nje ya mishahara yao. lakini suala la mishahara lazima liwe na kanuni ya uwiano.
Changamoto ninayoitoa kwa serikali kwa siku za mbeleni na kwa hatua za haraka zaidi, pelekeni kwa wingi wataalamu wa kada ambazo zina impacts za moja kwa moja kwenye maisha ya binadamu katika vyombo vya usalama kama vile jeshini, usalama wa Taifa, police na vinginevyo kwa ajili ya emergency wakati wa dharula. Lakini pia maslahi ya wataalamu wetu lazima yaboreshwe.
Nasilisha kwa maslahi ya Taifa
Nyinyi mshambulieni huyo Kibindi left and right, lakini mimi nauliza hivi hawa madaktari si wamesomeshwa kwa fedha zetu sisi walipa kodi wa nchi hii?
Nyinyi munaoshangiria mgomo nyote ndiyo munaokwenda hospitali za binafsi kwa hivyo hamuathiriki na huo mgomo hata ukiendelea kwa mwaka mzima.
Ila musiwasahau wale waliokufa kwa kukosa huduma.
Nyinyi mshambulieni huyo Kibindi left and right, lakini mimi nauliza hivi hawa madaktari si wamesomeshwa kwa fedha zetu sisi walipa kodi wa nchi hii?
Nyinyi munaoshangiria mgomo nyote ndiyo munaokwenda hospitali za binafsi kwa hivyo hamuathiriki na huo mgomo hata ukiendelea kwa mwaka mzima.
Ila musiwasahau wale waliokufa kwa kukosa huduma.
Hv Mponda na Nkya wamefanya nn hadi wajiuzuru?
Hv Mponda na Nkya wamefanya nn hadi wajiuzuru?
Hatua yoyote ile ya kugoma kutoa huduma kwa WATANZANIA wasio na hatia haitakubalika. Kwa sasa watanzania tutalaani na kupinga action yoyote kwa madaktari wanayokusudia kuchukua. Hatua hiyo ni kama uhaini kwa kukusudia kuua raia wema wanaokamuliwa kodi kwa kusomesha na kuwalipa mishahara wataalamu. Tunaamini bado kuna nafasi ya kukaa na kupata muhafaka kupitia meza ya majadiriano bila kuilazimisha, kuisulutisha na kuiwekea mashariti ya kuidhalilisha serikali eti kwa kwa kigezo ni kada muhimu. Serikali ina utaratibu wake ambao inapaswa uheshimiwe na watu wote kwa mujibu wa katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania. Pia tunatoa mwito kwa serikali kuheshimu taaluma za wataalamu wetu kwa kuwapatia vitendea kazi na maslahi yanayokidhi taaluma husika. Suala la kada ya afya lishughulikiwe kwa ujumla wake kwa kuzingatia wataalamu wote waliopo katika kada hiyo bila kuwabagua maana wanategemeana bila kusema Daktari ni bora zaidi, kinyume na hapo ni kuzalisha Crisis nyingine ndani ya kada ya Afya kwa kusababisha chuki kati yao na mgomo baridi utakaoleteleza kuzorotesha huduma ya Afya. Hatua kwa hatua na kwa kasi, Serikali iboreshe maslahi kwa watumishi wake, maana tukisema Sekta ya Afya ni muhimu zaidi, je Walimu wanaopigana kuondoa ujinga na kuzalisha hao wataalamu wa Afya wao si ni bora zaidi? SERIKALI ISIJIINGIZE KATIKA MTEGO WA KUONA KADA NYINGINE NI BORA ZAIDI KWA MAANA KADA ZOTE ZINATEGEMEANA! Mfanyakazi wa TRA si bora zaidi, kuliko mtaalamu wa Afya za Mazingira, Mkemia au mhandisi, Mwanajeshi si bora zaidi Kuliko Daktari, na wala Daktari si bora zaidi kuliko Mwalimu, na Wala WABUNGE si bora kuliko watu wengine. Na kinyume chake ni hivyo hivyo. Tofauti inayoweza kujitokeza, madharani ni kwa kuhamasisha wanafunzi wengi wapende masomo ya Sayansi, hivyo ili linaweza kufanyika kwa wataalamu wa sayansi kupewa motisha na hata ikibidi nje ya mishahara yao. lakini suala la mishahara lazima liwe na kanuni ya uwiano.
Changamoto ninayoitoa kwa serikali kwa siku za mbeleni na kwa hatua za haraka zaidi, pelekeni kwa wingi wataalamu wa kada ambazo zina impacts za moja kwa moja kwenye maisha ya binadamu katika vyombo vya usalama kama vile jeshini, usalama wa Taifa, police na vinginevyo kwa ajili ya emergency wakati wa dharula. Lakini pia maslahi ya wataalamu wetu lazima yaboreshwe.
Nasilisha kwa maslahi ya Taifa
asante sana negembo. Me naona madaktari wanakua vichaa sasa. Kwani mponda na nkya ndio wamekula posho zao? Halafu kinachonishangaza wanampa amri rais eti mpk jumatano awe kashawafukuza kazi. Pm kashawaambia kuwa madai yao yako kwny mchakato kulingana na taratibu za serikali ila hawasikii. Me naona km hawataki kazi waache wakalime mahindi, wawaache wenye uzalendo wafanye kazi. Hakuna aliyeshikiwa mtutu wa bunduki.
Huu ni uvivu wa kufikiri,madaktari wana hoja ya msingi mkuu!
Acha uwe uvivu wakufikiri nadhani hata madaktari furaha yao nikuona masikini tunakufa kwa kukosa huduma, tutafute mbinu zingine tafadhali hata kwakutaka wananchi tuwasaidie kwa maandamano!
wewe nawe ndio walewale masabuli utilizers!pm si aliahidi kuwafukuza kazi nani kamzuia?we unafikili hii ni fani ya kuuza duka sio!!??kamshauri mta maamuzi awafukuze hata leo halafu wewe na masabuli yako mkatibu mwana..wewe!hahaha eti wazalendo,huyo waziri na mwanzie ndio wanauweza uzalendo kwa kubaki madarkn hata baada ya kubolonga sio!ofcourse ikishindikana inakuja massresigniton ndio utatumia aikli badala ya masabuli.hahaha!asante sana negembo. Me naona madaktari wanakua vichaa sasa. Kwani mponda na nkya ndio wamekula posho zao? Halafu kinachonishangaza wanampa amri rais eti mpk jumatano awe kashawafukuza kazi. Pm kashawaambia kuwa madai yao yako kwny mchakato kulingana na taratibu za serikali ila hawasikii. Me naona km hawataki kazi waache wakalime mahindi, wawaache wenye uzalendo wafanye kazi. Hakuna aliyeshikiwa mtutu wa bunduki.
heshima yako mkuu!naomba unitajie maandamano matatu ambayo yalifanyika hapa nchini na kufanikiwa!?usiwe mtu wa kulalamika bila kufanya kwa vitendo!kwa nini usiandamane leo kuitaka srkl itimize makubaliano maana sasa hivi mgomo haujaanza unangoja nini!!!?hivi mtu kujiuzuru kunachukua mda wa siku nzima!acha propaganda ni wakati wa kutimiza wajibu.una nafasi ya leo na kesho kuwashauri na kushinikiza utekelezwaji wa makubaliano na kumbuka madactari hawako kisiasa na huwezi mlazimisha afanye kazi,ni wajibu wako kujua kama utampisha mtt wako kwenye njia ya mbwa mkali au lah!na ukiamua kumpitisha usijidanganye utawaambia watu ulikuwa unampenda mtt wako wakakuamini.acha uwe uvivu wakufikiri nadhani hata madaktari furaha yao nikuona masikini tunakufa kwa kukosa huduma, tutafute mbinu zingine tafadhali hata kwakutaka wananchi tuwasaidie kwa maandamano!
kwa jinsi ulivyo kilaza umeyaelezea madai ya msingi ya madaktari bila kujua halafu mwishoni unawapinga tena...madaktari siyo malaika na mara nyingi wanajitolea zaidi ya uwezo wao...kama serikali imeamua kununua utitiri wa mashangingi na kufanya upumbavu mwingi wa kufuja mali za walipa kodi huoni ni sahihi kwa madaktari kuishinikiza serikali kuboresha huduma za afya? huduma duni kama upatikanaji wa dawa na vifaa bora vya kutendea kazi ndiyo vinavyosababisha mengi uliyoyaeleza hapo juu...kama mnaona maslahi ni kidogo na hamuwezi kuvumilia serikali kutatua matatizo yenu basi ACHENI KAZI! tafuteni kazi kwingineko! nyie si ni kada muhimu zaidi ya wengine? pili wengine wanasema Serikali wanakwenda kutibiwa nje! issue hapa ni competence maana kama mtu ana wasiwasi na uwezo wako hawezi kurisk maisha yake kama uwezo anao! OPERATION YA KICHWA BADALA YA MIGUU NA hiyo inahitaji kuongezwa maslahi? diagnosis ya malaria kwa wengine ni taabu! ni watu wangapi mmewapima wana HIV mkarule out kwamba wanao wakati hawana? au kwa kuwa wananchi tupo kimya hatuwabwatukii kwa madudu mengi mnayoyafanya?! BUT BY THE WAY NYIE NDO MNATOA RECCOMENDATION MGONJWA AENDE NJE AU LAH! naamini wapo madaktari wachache wazuri lakini wengi tumepoteza pesa za wananchi! NI VILAZA na thats why mnashindwa kuhandle issue ndogo kama hii eti mnampangia RAIS ni mtu gani awaongoze na nani asiwaongoze!! nyie watu wa wapi?! NASEMA MGOMO WENU NI WA KITOTO NA HAUKUBALIKI!
mtaandika mtachoka! lakini watu wenye akili hawatasupport mgomo wenu! sikatai mudai maslahi yenu, lakini si kwa kutoa uhai wa Watanzania wasio na hatia na kujiona bora kuliko wengine! nyie mna vyama vyenu TMA na TUGHE ina maana vyote vimeshindwa kuzungumza na Serikali? basi anzieni hapo mviwajibishe kama havifai viondoeni! tunapashwa kuheshimu binadamu wenzetu wasiyo na uwezo wa kutibiwa Hosp za binafsi na kuepuka kuwafanya chambo. Haya ni mawazo yangu na wala sitoi mawazo kwa kufuata mkumbo hata kama nitapingwa na wachangiaji wote lakini lazima nisimamie kile ninachofikiri ni sahihi.MGOMO HAPANA NA HAPANA! TUTAWAPINGA KWA NGUVU ZOTE!
Naunga mkono hoja za madaktari 100%
Hatua yoyote ile ya kugoma kutoa huduma kwa WATANZANIA wasio na hatia haitakubalika. Kwa sasa watanzania tutalaani na kupinga action yoyote kwa madaktari wanayokusudia kuchukua. Hatua hiyo ni kama uhaini kwa kukusudia kuua raia wema wanaokamuliwa kodi kwa kusomesha na kuwalipa mishahara wataalamu. Tunaamini bado kuna nafasi ya kukaa na kupata muhafaka kupitia meza ya majadiriano bila kuilazimisha, kuisulutisha na kuiwekea mashariti ya kuidhalilisha serikali eti kwa kwa kigezo ni kada muhimu. Serikali ina utaratibu wake ambao inapaswa uheshimiwe na watu wote kwa mujibu wa katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania. Pia tunatoa mwito kwa serikali kuheshimu taaluma za wataalamu wetu kwa kuwapatia vitendea kazi na maslahi yanayokidhi taaluma husika. Suala la kada ya afya lishughulikiwe kwa ujumla wake kwa kuzingatia wataalamu wote waliopo katika kada hiyo bila kuwabagua maana wanategemeana bila kusema Daktari ni bora zaidi, kinyume na hapo ni kuzalisha Crisis nyingine ndani ya kada ya Afya kwa kusababisha chuki kati yao na mgomo baridi utakaoleteleza kuzorotesha huduma ya Afya. Hatua kwa hatua na kwa kasi, Serikali iboreshe maslahi kwa watumishi wake, maana tukisema Sekta ya Afya ni muhimu zaidi, je Walimu wanaopigana kuondoa ujinga na kuzalisha hao wataalamu wa Afya wao si ni bora zaidi? SERIKALI ISIJIINGIZE KATIKA MTEGO WA KUONA KADA NYINGINE NI BORA ZAIDI KWA MAANA KADA ZOTE ZINATEGEMEANA! Mfanyakazi wa TRA si bora zaidi, kuliko mtaalamu wa Afya za Mazingira, Mkemia au mhandisi, Mwanajeshi si bora zaidi Kuliko Daktari, na wala Daktari si bora zaidi kuliko Mwalimu, na Wala WABUNGE si bora kuliko watu wengine. Na kinyume chake ni hivyo hivyo. Tofauti inayoweza kujitokeza, madharani ni kwa kuhamasisha wanafunzi wengi wapende masomo ya Sayansi, hivyo ili linaweza kufanyika kwa wataalamu wa sayansi kupewa motisha na hata ikibidi nje ya mishahara yao. lakini suala la mishahara lazima liwe na kanuni ya uwiano.
Changamoto ninayoitoa kwa serikali kwa siku za mbeleni na kwa hatua za haraka zaidi, pelekeni kwa wingi wataalamu wa kada ambazo zina impacts za moja kwa moja kwenye maisha ya binadamu katika vyombo vya usalama kama vile jeshini, usalama wa Taifa, police na vinginevyo kwa ajili ya emergency wakati wa dharula. Lakini pia maslahi ya wataalamu wetu lazima yaboreshwe.
Nasilisha kwa maslahi ya Taifa
hakuna haja ya kutoka povu mdomoni mkuu, usihofu kuanzia j5 tutawaachia hospitali zenu sie tutaenda kulima mahindiAsante sana Negembo. Me naona madaktari wanakua vichaa sasa. Kwani Mponda na Nkya ndio wamekula posho zao? Halafu kinachonishangaza wanampa AMRI Rais eti mpk jumatano awe kashawafukuza kazi. PM kashawaambia kuwa madai yao yako kwny mchakato kulingana na taratibu za serikali ila hawasikii. Me naona km hawataki kazi WAACHE wakalime mahindi, wawaache wenye uzalendo wafanye kazi. Hakuna aliyeshikiwa mtutu wa bunduki.