BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
Haya......
Nawatakia mgomo.mwema
Nawatakia mgomo.mwema
Natumaini watakumbuka kuongelea kwanini wanaendesha vibaya na kukimbiza, kuovateki ovyo bila kujali usalama wa abiria bali kuua tu.
Tena waanze kushtakiwa na kufungwa.
Itafuata zamu yetu wakulima.Tutagoma kupeleka chakula sokoni ili nyie mafisadi wa mjini msipate chakula chetu.
Hivyo vyuo na mashule ya bweni mvitafutie chakula cha kichinachina