Mgomo mkubwa wanukia Ijumaa

Mgomo mkubwa wanukia Ijumaa

Natumaini watakumbuka kuongelea kwanini wanaendesha vibaya na kukimbiza, kuovateki ovyo bila kujali usalama wa abiria bali kuua tu.

Tena waanze kushtakiwa na kufungwa.

bahati mbaya wanafungwa hata kama kosa ni la miundombinu,Mimi ninashauri wakuu wa traffic mahali ambapo ajali inatokea nao wawajibishwe ili kupunguza rushwa
 
Itafuata zamu yetu wakulima.Tutagoma kupeleka chakula sokoni ili nyie mafisadi wa mjini msipate chakula chetu.
Hivyo vyuo na mashule ya bweni mvitafutie chakula cha kichinachina

Chonde chonde msifanye hivyo manake watakao pata ni wale wenye nacho wanaoweza kuweka akiba ya chakula hata mwezi mzima sie makabwela wa unga robo, nyanya fungu jero tutarajie maumivu:what:
 
Bora wagome. Kwa Mara ya kwanza baada ya miaka kumi Mwanza Dar unalala njiani kisa Sumatra na sheria zisizo na tija.
 
Back
Top Bottom