Iyo ela ni ndogo sana ukilinganisha na PAYE.
Lipeni kodi acheni kutafuta visingizio.
Kama haufanyi biashara hautakiwi kuchangia kwa kuonyesha shida za PAYE.
Wabunge tusaidieni jamani. Hizi mashine ni biashara ya wakubwa. Mimi niliinunua 1.5m mashine ambayo leo inapatikana kwa chini ya 800k. Mbaya zaidi, kabla tulipewa semina na maofisa wa TRA pamoja na suppliers wa mashine hizo na tukaahidiwa kuwa suppliers wangekuwa wanazifanyia regular service. Tangu 2010 niliponunua mashine hiyo sijamuona mtu wa kuja kuifanyia service, na imenigharimu mara mbili kuipeleka Mwanza toka Musoma niliko kwa vitu vidogo eti software updates, kwanini mfanyabiashara abebeshwe mizigo hii? Tusaidieni wabunge tafadhalini.
Mgomo umewasili mwanza watu wanaanza kufunga maduka muda huu
wengi wanaofunga maduka ni kuogopa kuvamiwa na kuporwa mali zao
Kodi tunalipa, ninachoongelea hapa ni hizi mashine na gharama zake zisizo na maslahi kwa mfanyabiashara. Jaribu kuutumikisha ubongo wako kufikiri.Iyo ela ni ndogo sana ukilinganisha na PAYE.
Lipeni kodi acheni kutafuta visingizio.