Hiyo kwa namna moja au nyingine sioni tofauti sana na kuajiriwa kama kibarua maana hawawezi kufanya lolote la ajabu kwenye maisha yao kwa staili hiyo. Kwanini nchi hii imeshikwa sehemu kubwa hivi na wanyonyaji weusi??? ndio maana wana uhusiano mkubwa na akina RA maana ni wanyonyaji wenzao na wanafundishana kunyonya. Pumbaf kabisa, kazeni buti huenda Mungu akaona shida zenu mkakombolewa, hata hivyo msisahau, kuweni makini kufuata sheria mjue kamili pa kuanzia na pa kuishia maana hao ni wezi ambao tayari walishajipanga kuwaibia wakiwa na silaha kamili na kuua ama kujeruhi wanapopingwa. Msikabiliane nao kwa ubishi wa midomo, mtaishia kuvuliwa bukta zenu mkimbizwe mitaani bila nguo usiku.