Mgomo: Bajaji Iringa-zatoa huduma bure

Mgomo: Bajaji Iringa-zatoa huduma bure

KaziIendelee

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2013
Posts
327
Reaction score
231
Wanajamvi Habari za majukumu,

Mgomo wa waendesha bajaji Iringa wawapelekea kutoa huduma bure.
 
sasa ndio umepost nini...??hili jukwaa limevamiwa sasa
 
hujaeleweka, au hao wanaotoa huduma bure wanakukimbiza
 
Baada ya kuondoa vibao vya kujifunzia kuandika drs la awali sasa watu wanajifunzia kuandika hapa Jf ...nashauri vibao vyeusi drs la awali virudishwe ili viwasaidie wenzetu hawa.
 
Wanajamvi Habari za majukumu,

Mgomo wa waendesha bajaji Iringa wawapelekea kutoa huduma bure.

Hivi Wanyiramba ndo mko wajinga kiasi hicho? Sasa ume-post nini hapa? Yaani wao wagome halafu watoe huduma bure?!! Sasa wamegoma nini? Hebu njoo ujieleze vizuri ili tukuelewe! Siamini kama kichwa chako ni kwa ajili ya kufugia nywele tu!!
 
Kweli huyu anaonekana hana akili kabisa. Ungenyambua, kudadavua na kugagambaa kwa umakini zaidi tungeelewa. Sasa gagambaa na utujuze:
1. Kwa nini wamegoma
2. Mgomo umeanza lini na unaisha lini? Japo ukigagambaa kwa haya mawili utatupatia pa kuanzia kujadili.
 
Back
Top Bottom