respect wa boda
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 4,557
- 3,835
- Kaka tuliza boli huwa ninashindwa sana kuja hapa kujadili na watu kama wewe wasiokuwa nan uelewa kabisa, Chadema mumehusika sana na kuuzwa kwa nyumba hizi so nyamaza!!
LE Mutuz
We gamba,nilijua mgonjwa wa kichaa kapona kumbe alipata nafuu tu na sasa kichaa kimeludi kama awali,ni mambo mangapi yamepingwa na Chadema na bado maccm kwa uwingi wake bungeni yakapitisha, hivi wa vilebaba yako alikuwa ccm na wewe lazima use ccm
Ona unavyopata shida kuikosoa ccm wamekupiga mkwala huko unakuja Kulamba matapishi yako Mwenyewe eti ccm tunaonyana na kukosoana,mbulula wewe kamuulize kolimba ni nini kilimpata baada ya kusema ccm imekosa dira na mwelekeo
Huwezi kupiga yowe la mwizi kwa Kinon,gona you must shout ili watu wakusikie na huwezi kufanya hivyo ukiwa ndani ya ccm you must get out ili upige kelele kwa uhuru je, hujajifunza ka kamanda Mawazo,Millya,Bananga na wengineo wengi.