Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha AAFP, Said Soud Said, amemshukia mgombea wa ACT Wazalendo, Othman Masoud, akidai hana uwezo wa kufikia hata kwa mbali hadhi ya kisiasa ya marehemu Maalim Seif Sharif Hamad.
Said alitoa kauli hiyo akijibu maneno ya uchochezi na ya kubeza sheria za uchaguzi yaliyotolewa na mgombea huyo wa ACT, wakati akizungumza na wanachama wake baada ya kukabidhiwa fomu ya uteuzi kutoka ZEC mnamo Agosti 31, 2025.
Said alitoa kauli hiyo akijibu maneno ya uchochezi na ya kubeza sheria za uchaguzi yaliyotolewa na mgombea huyo wa ACT, wakati akizungumza na wanachama wake baada ya kukabidhiwa fomu ya uteuzi kutoka ZEC mnamo Agosti 31, 2025.