mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,223
- 4,679
Baada ya Chadema kuvunja susio lake la chaguzi ndogo pamoja na kwamba walichosusia hakijabadilika...Ni wazi na Ukawa yote itarudi pia kwenye uchaguzi.
Napenda kufahmu CUF watamsimamisha mgombea gani pale, maana kuna tetesi Sheikh kipenzi cha watu Ponda alikuwa analitaka ilo jimbo.
Najua kwa mujibu wa mgawanyo wa majimbo wa UKAWA kinondoni ni jimbo la CUF, ila ningependa kufaham ni nani atasimamishwa kugombea kinondoni.
Napenda kufahmu CUF watamsimamisha mgombea gani pale, maana kuna tetesi Sheikh kipenzi cha watu Ponda alikuwa analitaka ilo jimbo.
Najua kwa mujibu wa mgawanyo wa majimbo wa UKAWA kinondoni ni jimbo la CUF, ila ningependa kufaham ni nani atasimamishwa kugombea kinondoni.