barakachaplin
Senior Member
- Jan 24, 2014
- 121
- 54
kuna mgombea wa chama tawala alienda dodoma kuomba kura ya kuwa raisi mambo yakawa ivi
mgombea:wananchi oyeeee.
wananchi😱yeeeh
mgombea:mkinichagua nitawatengenezea daraja,
wananchi:lakini sisi hatuna mtoo,
mgombea:na mto nitawaletea,
mgombea:wananchi oyeeee.
wananchi😱yeeeh
mgombea:mkinichagua nitawatengenezea daraja,
wananchi:lakini sisi hatuna mtoo,
mgombea:na mto nitawaletea,