Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Igwe wanaJF
Ndugu Salum Mwalim si mpiga kura wa Kinondoni bali Kikwajuni huko Unguja. Ni dhahiri Ndg. Mwalim hawezi kuwa mwakilishi makini kwani akili yake ipo Kikwajuni.
Hivyo wito kwa wana Kinondoni ni Mtulia tena ubunge sababu ana "connection " na wana Kinondoni.
Hivyo basi Mwalim apumzishwe ili ikifika 2020 tumuone atajisajili Jimbo gani ndipo tumtathimini.
Nawasilisha
Ndugu Salum Mwalim si mpiga kura wa Kinondoni bali Kikwajuni huko Unguja. Ni dhahiri Ndg. Mwalim hawezi kuwa mwakilishi makini kwani akili yake ipo Kikwajuni.
Hivyo wito kwa wana Kinondoni ni Mtulia tena ubunge sababu ana "connection " na wana Kinondoni.
Hivyo basi Mwalim apumzishwe ili ikifika 2020 tumuone atajisajili Jimbo gani ndipo tumtathimini.
Nawasilisha