GE2025 Mgombea Urais wa Chama cha UMD, Mwajuma Mirambo na mgombea mwenza watinga INEC kuchukua fomuu

GE2025 Mgombea Urais wa Chama cha UMD, Mwajuma Mirambo na mgombea mwenza watinga INEC kuchukua fomuu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Wafuasi wa mgombea wa nafasi ya Urais wa Chama Cha UMD wakimsindikiza mgombea wao Mwajuma Mirambo akiwa na mgombea mwenza Mashavu Alawi Haji kuingia ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Kwa ajili kuchukua fomu za kuwania nafasi hiyo.

Source EATV


I1.JPG
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele akimkakabidhi mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Union for Multiparty Democracy (UMD), Mwajuma Noty Mirambo. Mgombea huyo waaliambatana na Mgombea Mwenza, Mhe. Mashavu Alawi Haji (kushoto) alichukua fomu hizo leo Agosti 11, 2025 ambapo Tume inataraji kufanya uteuzi Agosti 27 mwaka huu.


I2.JPG
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele akimkakabidhi mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Union for Multiparty Democracy (UMD), Mwajuma Noty Mirambo. Mgombea huyo waaliambatana na Mgombea Mwenza, Mashavu Alawi Haji (kushoto) alichukua fomu hizo leo Agosti 11, 2025 ambapo Tume inataraji kufanya uteuzi Agosti 27 mwaka huu. Kualia ni Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume, Ndg. Ramadhan Kailima.

I3.JPG

Picha na INEC
 
Hivi hiyo fomu si inachukuliwa kwa milioni moja huwa hizo hela wanatoa kweli?
 
Hivi hiyo fomu si inachukuliwa kwa milioni moja huwa hizo hela wanatoa kweli?
Ruzuku Mzee....Wanatambulika Kisheria na Wanatambuliwa Kisheria Pia Kutokana Na Kanuni Na Sheria Za Katiba Ya Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Na Kanuni Na Sheria Za Tume Huru Ya Taifa Ya Uchaguzi....
 
Wafuasi wa mgombea wa nafasi ya Urais wa Chama Cha UMD wakimsindikiza mgombea wao Mwajuma Mirambo akiwa na mgombea mwenza Mashavu Alawi Haji kuingia ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Kwa ajili kuchukua fomu za kuwania nafasi hiyo.
View attachment 3438301
Source EATV
Vyama vingine sijawahi hata kuvizikia, hawa wagombea majina yao ni mapya kabisa
 
Akiwa smart kwa kuuma na kupuliza/kubalance mazuri na mabaya ya ccm katika kampeni, nafasi ya ukuu wa mkoa itamuhusu kama mama ngwrira nad kwini sendiga.
 
Kwani mgao wa ruzuku upoje? Mpaka kwenye hivi vyama ambavyo havina hata madiwani?
Ruzuku Mzee....Wanatambulika Kisheria na Wanatambuliwa Kisheria Pia Kutokana Na Kanuni Na Sheria Za Katiba Ya Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Na Kanuni Na Sheria Za Tume Huru Ya Taifa Ya Uchaguzi....
 
Huyu maza baada ya kuharibu nchi amesababisha kila mtu aone kuwa anaweza kuwa Rais wa nchi
 
Akiwa smart kwa kuuma na kupuliza/kubalance mazuri na mabaya ya ccm katika kampeni, nafasi ya ukuu wa mkoa itamuhusu kama mama ngwrira nad kwini sendiga.
Yes wanachotafuta ni kuteuliwa kuwa wakuu wa Mikoa na Wilaya ajili ya kubalance
 
MTM_0374.JPG
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele akimkakabidhi mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Union for Multiparty Democracy (UMD), Mwajuma Noty Mirambo. Mgombea huyo waaliambatana na Mgombea Mwenza, Mhe. Mashavu Alawi Haji (kushoto) alichukua fomu hizo leo Agosti 11, 2025 ambapo Tume inataraji kufanya uteuzi Agosti 27 mwaka huu.

MTM_0379.JPG
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele akimkakabidhi mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Union for Multiparty Democracy (UMD), Mwajuma Noty Mirambo. Mgombea huyo waaliambatana na Mgombea Mwenza, Mashavu Alawi Haji (kushoto) alichukua fomu hizo leo Agosti 11, 2025 ambapo Tume inataraji kufanya uteuzi Agosti 27 mwaka huu. Kualia ni Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume, Ndg. Ramadhan Kailima.
MTM_0405.JPG

Picha na INEC


 
Wasindikizaji wa uchaguzi, nahisi hata hizo pesa za kuchukua fomu wanapewa na chama dola
 
Back
Top Bottom